Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Wakuu
Hivi kama MTU ulikua muajiriwa serikalini labda kwa miaka 20 na ikatokea umefanya kosa ukafukuzwa kazi, Je mafao uliokua unachangia kwenye mifuko ya kijamii unastahili kulipwa?
Naomba ufafanuzi tafadhali maana barua inasema umepoteza stahiki zako zote
Hivi kama MTU ulikua muajiriwa serikalini labda kwa miaka 20 na ikatokea umefanya kosa ukafukuzwa kazi, Je mafao uliokua unachangia kwenye mifuko ya kijamii unastahili kulipwa?
Naomba ufafanuzi tafadhali maana barua inasema umepoteza stahiki zako zote