Mkuu so kwa miaka hiiiUkifukuzwa kaz unapata stahili zako kwa maana ya kupewa ulichokuwa unachangia unapewa bila tatzo lolote. Ndugu yangu alikuwa afsa kilimo kata mwaka jana kafukuzwa kaz na pesa yake aliyokuwa anachangia kapata yote
Ukifukuzwa kaz unapata stahili zako kwa maana ya kupewa ulichokuwa unachangia unapewa bila tatzo lolote. Ndugu yangu alikuwa afsa kilimo kata mwaka jana kafukuzwa kaz na pesa yake aliyokuwa anachangia kapata yote