we kituko heb wacha vituko! Huyu mtoto ni 10yrs old!, unategemea ajue nini?? Ofc'se she had no clue of what was goin to happen to her, on the return of the offer from that perv! Aaarghh😡😡
Ukishasema nae halafu fataki likaenda likamnanihii ukigundua utaanza kumlaumu mtoto wako wa miaka kumi kwamba hakusikiliza maneno uliyomuasa na kuona fataki limefanya cha maana, cause mtoto hasikii ya wazazi au dena leo umeamkaje mpenzi una watoto lakini? waujua uchungu wa mwana
Mwili wote umepata ganzi jmn dunia inaenda wapi ss:redfaces::redfaces::redfaces:
tena usijidanganye hata kidogo, hizo tamthilia za nje na movie za kibongo wanazoangalia unadhani haziwafundishi hayo. Haya, na hayo matangazo hayasikii? Bwana alijua sana uroho wa 10,000 ndio ungemtokea puani, tuombe mungu tu atulindie watoto wetu
tena usijidanganye hata kidogo, hizo tamthilia za nje na movie za kibongo wanazoangalia unadhani haziwafundishi hayo. Haya, na hayo matangazo hayasikii? Bwana alijua sana uroho wa 10,000 ndio ungemtokea puani, tuombe mungu tu atulindie watoto wetu
Ukishasema nae halafu fataki likaenda likamnanihii ukigundua utaanza kumlaumu mtoto wako wa miaka kumi kwamba hakusikiliza maneno uliyomuasa na kuona fataki limefanya cha maana, cause mtoto hasikii ya wazazi au dena leo umeamkaje mpenzi una watoto lakini? waujua uchungu wa mwana
Uwiiiiiiii! Maty (SHIMO) hilo nalo nenooooo!wewe sijui ni baba sijui ni mama umenisikitisha sana unasema katoto kalaumiwe mtoto wa miaka 10, watoto ni rahisi sana kulaghaiwa hasa waishio katika mazingira magumu hv imagine angekua ni mtoto wako achekiwe akutwe na shimo kubwa sijui ungesema mwanangu umezidi wacha uwe na hilo shimo au (huna hata huruma) mwe
Maty nina watoto wanne dada Wakike watatu wakiume mmoja na ninasema nao kila siku naona wanalewa
Uwiiiiiiii! Maty (SHIMO) hilo nalo nenooooo!
Wanaweza kukuelewa sawa lakini hawa wanaume walivyo waongo si wenyewe tunaambizana kila siku na wenyewe wanatuambia hadi mbinu wanazotumia lakini mwisho wa siku wanatuliza na sisi ni watu wazima itakua hao watoto dia?