Mafataki yapigwa nje ya hoteli waliofikia Yanga

Themann

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2022
Posts
3,842
Reaction score
16,058
Unaambiwa usiku wa leo ulikuwa ni usiku wa kuliza mafataki nje ya hoteli waliofikia Yanga. Naanza kuwaonea huruma Yanga.

Je, kama wachezaji wao hawajapata pumziko la kutosha nini kitatokea?[emoji23][emoji119][emoji119]

Your browser is not able to display this video.
 
Waalgeria wanajua mapambano, siyo Wamorocco wale. Hata uhuru wao hawakupewa mezani. Nadhani ndiyo waarabu wagumu wagumu na wakorofi kuliko wote Afrika Kaskazini.
Hawa jamaa bana Bora uanzie Kwao umalizane nao ila ukianzia kwako ukamalizie Kwao umeisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…