Mafikizolo kufanya collabo na Diamond

Mafikizolo kufanya collabo na Diamond

View attachment 163937


View attachment 163938


View attachment 163941

Hatua nyingine ya mziki wa TZ inaenda kupigwa..diamond na hata sisi hatukufahmu kumbe diamond anachukuliwa hadi na wasanii wakubwa kama msanii mzuri kabisa ambae wakifanyz nae collabo,mziki wao utafanyz vizuri,mpaka juzi kabla ya tuzo mafikizolo walipomwomba diamond abaki wafanye nae wimbo,kumbuka diamond alitakiwa arud nyumba jumapili lakini wao walilipia gharama zote za kuendelea kubaki mpka nyimbo ifanyike,na kazi imefanyika,diamond mpka anenda studio hakua ameambiwa wala kujua idea ya wimbo,katungia mashairi mule mule studio, na pale alipoingiza sauti mafikizolo wenywe wakakubali kweli kijana yupo vizuri,hii inatoa mwanga na picha nzuri kuwa mziki wetu taratibu utafika tutakapo ufike, zamani tulizoea akija msanii mkubwa tunatafuta upenyo na kubembeleza kufanya collabo rakini sasa mambo yamebadilikaa,Diamond sasa anatafutwa na wasanii wakubwa.

Kumbuka pia kuna collabo na iyanya ipo soon,na kuna collabo nyingine za wasanii wakubwa tu nigeria na west kwa ujumla ambazo bado zipo stoo na zingine ziko mbion kukamillika.THATS MY BOSS N AM PROUD OF HIM.
usipitwe na picha za matukio ya kila siku ya diamond na wasafi kwa kufollow IG page, ya wasafi @ wcb_wasafi ,pia page yangu ya @ Kifesi
na www.thisidiamond.com

Usitufanye watoto wenzako, kadanganye facebook wenzako
 
Title ===> Picha-ndoto ya mafikizolo kufanya
collabo na Diamond yatimia
Kwani hapo nimekosea nini ndugu,ikiwa wao ndio walioomba collabo?Diamond alikuwa na uwezo wa kuwakatalia so kukubali kwake ,ndoto yao imetimia,usikute walikua wanamvizia akitua tu kwao..wafanye nae kweli..
 
Usitufanye watoto wenzako, kadanganye facebook wenzako

So unachobisha ni nini sasa?au we ndio ulikuwepo?Nyimbo kibao tu Diamond huzitumgia studio bila kujiandaa..kichwa kile wewe Bulldog
 
Last edited by a moderator:
Kwani hapo nimekosea nini ndugu,ikiwa wao ndio walioomba collabo?Diamond alikuwa na uwezo wa kuwakatalia so kukubali kwake ,ndoto yao imetimia,usikute walikua wanamvizia akitua tu kwao..wafanye nae kweli..


Mmmmmh unaeleza kwa unyonge sana mkuu !
Kubali tu kwamba you've erred ! Yaishe maelezo mengi hayana umuhimu hapa !
 
View attachment 163937


View attachment 163938


View attachment 163941

Hatua nyingine ya mziki wa TZ inaenda kupigwa..diamond na hata sisi hatukufahmu kumbe diamond anachukuliwa hadi na wasanii wakubwa kama msanii mzuri kabisa ambae wakifanyz nae collabo,mziki wao utafanyz vizuri,mpaka juzi kabla ya tuzo mafikizolo walipomwomba diamond abaki wafanye nae wimbo,kumbuka diamond alitakiwa arud nyumba jumapili lakini wao walilipia gharama zote za kuendelea kubaki mpka nyimbo ifanyike,na kazi imefanyika,diamond mpka anenda studio hakua ameambiwa wala kujua idea ya wimbo,katungia mashairi mule mule studio, na pale alipoingiza sauti mafikizolo wenywe wakakubali kweli kijana yupo vizuri,hii inatoa mwanga na picha nzuri kuwa mziki wetu taratibu utafika tutakapo ufike, zamani tulizoea akija msanii mkubwa tunatafuta upenyo na kubembeleza kufanya collabo rakini sasa mambo yamebadilikaa,Diamond sasa anatafutwa na wasanii wakubwa.

Kumbuka pia kuna collabo na iyanya ipo soon,na kuna collabo nyingine za wasanii wakubwa tu nigeria na west kwa ujumla ambazo bado zipo stoo na zingine ziko mbion kukamillika.THATS MY BOSS N AM PROUD OF HIM.
usipitwe na picha za matukio ya kila siku ya diamond na wasafi kwa kufollow IG page, ya wasafi @ wcb_wasafi ,pia page yangu ya @ Kifesi
na www.thisidiamond.com

Hamna msanii kwenye tuzo za mtv alikuwa anahema hema tu mpaka davido akawa anamgusa asiimbe ikawa anafatisha playback tu.
 
Hongera diamond,ongeza bidii usikatishwe tamaa ulipotufikisha watz unastahili sifa.

HOD sasa naona unaanza kubadilika majibu yako kwa wanaoponda ni ya hekima ,endelea hivyo maana unapotoa taharifu kuna watu watakaokubaliana na wengine kuponda ( hata kama hawana sababu ya msingi)
 
Back
Top Bottom