EUfundedtroll
Member
- Oct 30, 2014
- 14
- 13
naona watu wanapeanza namna ya kufanya biashara, kujenga, biashara ya kilimo, mayayi, kuku, uchawi na mengineyo
Mimi nataka kujua namna rahisi ya kuhamisha pesa nje ya nchi baada ya kupiga dili.
Naamini wadosi wengi hapa Bongo ndio zao lakini sijajua wanatumia technique zipi zaidi ya bureau de change na mengineyo
maana kupitia benki sasa hivi ngumu sana kutoa pesa nje ya nchi bila sababu na gharama kubwa
Huu uzi sio wa wanaopenda mambo ya halali
Mimi nataka kujua namna rahisi ya kuhamisha pesa nje ya nchi baada ya kupiga dili.
Naamini wadosi wengi hapa Bongo ndio zao lakini sijajua wanatumia technique zipi zaidi ya bureau de change na mengineyo
maana kupitia benki sasa hivi ngumu sana kutoa pesa nje ya nchi bila sababu na gharama kubwa
Huu uzi sio wa wanaopenda mambo ya halali