Kwahiyo unaniambia CCM ilikuwa clean kabla ya RA hajaingia huko mwaka 1994.
Hii ni habari mpya.. RA alijiunga na CCM 1994? Alitokea wapi, aliwahi kuwa hata kwenye umoja wa vijana?
There is a big consesus between High members of CCM Leadership on what RA is doing and that why he is succesfull to impliment whatever evil he want, because in any way he represent the majority view of the High CCM Leadership otherwise wangekuwa wameshamng'oa.
Not necessarily.. yawezekana hawawezi kumng'oa kwa sababu yeye kashikilia mpini!
CCM High Leadership imetugengenezea kina Chavda,EPA,Kiwila na mengine mengiiiiiii, therefore we have proved time to time kwamba when we deal na mtu mmoja mmjoja it doesnt help and the main solution is to take on the whole gang by taking on their umbrella which is the Kamati Kuu ya CCM which has a consesus kwenye ufisadi, taking out just one vote out of 1000 it wont help us much.
Once again you are trivializing the role of RA.. he is not just "one member".. he is not just "one vote".. and definitely he is not just a "victim". He is the mastermind!
We will come back here in 2 years with a new name asking where are they from while we will be sitting in the same shit.
whatever that other name may be, we will deal with it when push comes to shovel.. right now.. RA must go!
Sio kweli Sikatai kumhusisha RA na matizo ya CCM
ndicho unachofanya.. several times umejaribu kutufanya tuondoe macho yetu on the corruption personalized..
but we need to deal with the big picture which is the whole comitee,
unaweza kuvunja mti kwenye shina au kwenye matawi.. au kungoa kisiki kabisa.. for now.. ni hili shina.. hicho kisiki na mizizi tutafika tu.. ni lazima tupunguze nguvu zake kuendelea kuzaa matunda ya ufisadi.
because hata ukisema RA anaondoka leo CCM if he still wana be there he can put his puppet to continue to drive his agendas but if we erase the whole High level CCM leadership that will be a proper fall of RA because eventually we will be able to take over the Leadership with the new clean ethics in place.
Idealy that might be the proper way.. unfortunately I don't function in ideal world.. I'm a realist.. the probelkm for me now is RA and the puppets he is creating now and those mercenaries of corruption who have infiltrated different levels of our government even to the most high office!
Now I see that your so loyal to CCM to the extent unaona kama ni dhambi kukitaja chama hata kama kina matatizo na ndio maana unazunguka zunguka kumtaja mtu mmoja.
Nimekuwekea post zangu mbalimbali.. mimi sijui kujiumauma meno. CCM ni tatizo, ni tatizo ni tatizo na ndiyo walioulea ufisadi na wakanufaika na matunda yake. Ni wao waliomcreate RA na RA akageuka na kuwatafuna!
Kama Viongozi wa CCM wakitaka RA siku moja tu hamalizi ndani ya Chama, Ila wanmkumbatia kwasababu they have alot in common
Si kweli.. hakuna kiongozi wa CCM anayeweza kumnyoshea RA kidole au kumuondoa. Ataondoka akitaka siyo kwa sababu CCM inataka aondoke na akiondoka ataondoka kwa matarumbeta na shangwe na huzuni na machozi.
You still have no idea who RA
really is. I wish I could tell you.. but if I do that I'll have to..