Mafisango Vs Chuji, yupi unampa namba kwenye kikosi chako?

Hivi Chama na Mafisango ni wachezaji wenye calibre zinanozoendana? Mbona wako tofauti sana? Chama si shughuli kama Marehemu Mafisango. Chama ni soft sana ukilinganisha na Mafisango, Chama si mkabaji sana kama Mafisango n.k
 
Huyu huyu Chama wa Zambia ndio anakaba sana?
 
Hapo Kama ndani ya kikosi yupo Boban mbele yake Basi iyo nafasi iliyobaki Nampa MUTESA MAFISANGO Mana ule muunganiko wa MAFISANGO,, Boban na Kazimoto ulikuwa ni wa Moto,,,Nasimama na MAFISANGO.
 
Simba ya mafisango 5 - 0 yanga ya chuji. Na hii sio stori, ni kweli. Sasa sijui unataka kujua nini zaidi.
Ukae ukijua tu Yanga Mara zote akiwa anapigwa bao nyingi Hizo 5 sijui 6 na Simba Huwa Kuna mgogoro mkubwa tu ndani yake!! Hiyo mechi Timu iliweka kambi bagamoyo Kama sikosei Hadi kufikia saa7 mchana timu unajiandaa kusepa ije uwanjani Hakuna kiongozi yoyote aliekuwa anapokea simu Toka kwa meneja wa Timu Alikuwa Hafidhi zile sijui hamasaa sijui Mara Nini ilikuwa Hakuna Timu iliachwa Kama mtoto wa Bata!! Yanga ikitulia Hata Kama pesa Hakuna haifungiki kirahisi rahisi tu rejea mechi za round zote msimu huu wa COVID_19!!!!

Typed Using KIDOLE
 

Kumfananisha Fundi na Mtaalam Marehemu Patrick Tabu Mutesa Petit Mafisango ( Baba Crespo ) na huyo Muhuni Chuji ni Kumkosea mno Adabu.
 
Acha kujitetea. Je wajua kuwa ukitoa mwaka huu, raundi zote yanga imeifunga simba ikiwa ktk mgogoro ila simba hatutumii hiyo sababu?
 

Historia inasema Yanga alikula 5 hizo nyingine ni hadithi tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Unazungumzia ya Morrison!?
 
Chuji ktk ubora wake hakuna cha Mafisango wala mapingango ambae angeweza kubattle nae!!
 
Mitihan Sana Mafisango amecheza misimu miwili tu TANZANIA lakini yote alikuwa vizuri.Tofauti na chuji aliecheza misimu mingi mizuri na ya hovyo.

Wote wakiwa kwenye ubora nachukua Chuji
 
Mmmhhh,
Hapo kwa Chama sio kweli. Chama ni mzuri akiwa na mpira tu, ila sio mkabaji. Mutesa Patrick Mafisango alikua mkabaji mzuri tu.

Pili uchezaji wa Chama ni slow kidogo wakati Mafisango alikua na kasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…