Mafoleni ya Bongo

Mafoleni ya Bongo

gwambala

Member
Joined
Mar 10, 2010
Posts
60
Reaction score
2
foleni hzo

picture228f.jpg


picture197t.jpg


picture141ae.jpg


picture136y.jpg
 
Siku nyingine wekeni picha kwa mtindo huu, sio kwa atachment.
 
Labda hawa jamaa wa DART watapunguza, mnasemaje wadau?
 
@Invisible NRB is terrible kwa kweli.....
hat apa kutanulia kwanza hamna...hapo ndo utamu unakuja zaidi...
shuri upate kimuhemuhe
 
Ndio maana huwa naweleza kuwa bora pikipiki kuliko gari, huwa sieleweki.
 
Bongo naona cha mtoto, hii ni Nairobi 🙂

nairobiqueue.jpg


nairobijam.jpg


trafficjamnairobi.jpg


Traffic-jam.jpg


1417429139_b8e43aa7cb_o.jpg


48712135_3427fe8201.jpg


fwt_kenya.1105947660.nairobi_x7x.jpg
Mzee, hapa ni Nairobi wakati wa peak hours, yaani Dar cha mtoto bora uende kwa mguu, best inakubidi utembee na kopo la panadol manake kichwa kitagonga dunia nzima!
 
Aisee NBI is a disaster!!!!! mmmmmmmmmm! it tyakes me over an hr to cover a distance of less than 5km!!! kazi tunayo si haba!!!
 
Karibuni huku mikoani jamani hakuna foleni wala hatubanani
 
Tumekuwa na NIT miaka na miaka!
Bongo ni wachovu tu,mimi ,wewe na huyo!
 
Back
Top Bottom