Lamchina
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 240
- 120
Wadau habari za majukumu.
Kuna tetesi kuwa kuna dawa za kichina ambazo zinauwezo mkubwa kutibu mafua makali na Allegies(MZIO)
Nauliza kama kuna mtu alikwisha kutumia na kupona kabisa. Nina mafua makali kuanzia 2003 mpaka sasa ambyo imekuwa ikinisumbua sana, lazima kila siku niwe na hengachief mbili, pamoja na kutumia madawa mengi ya mafua na kubadili mikoa ya kuishi, kuboresha usafi lakini bado hali ni tete.
Laima kwa siku nipige chafya nyingi kama ishirini sasa naona it is too much:frusty: mpaka najikalia mwenyewe nisiwe kero kwa wengine.
Kama kuna mtu ana experience na madwa ya kichine anitonye nani nipate uponjaji.
Asante kwa mchango wa mawazo
Kuna tetesi kuwa kuna dawa za kichina ambazo zinauwezo mkubwa kutibu mafua makali na Allegies(MZIO)
Nauliza kama kuna mtu alikwisha kutumia na kupona kabisa. Nina mafua makali kuanzia 2003 mpaka sasa ambyo imekuwa ikinisumbua sana, lazima kila siku niwe na hengachief mbili, pamoja na kutumia madawa mengi ya mafua na kubadili mikoa ya kuishi, kuboresha usafi lakini bado hali ni tete.
Laima kwa siku nipige chafya nyingi kama ishirini sasa naona it is too much:frusty: mpaka najikalia mwenyewe nisiwe kero kwa wengine.
Kama kuna mtu ana experience na madwa ya kichine anitonye nani nipate uponjaji.
Asante kwa mchango wa mawazo