Rehemadick
Member
- Aug 11, 2017
- 8
- 2
Jamani naombeni ushauri Nina mafua makali sasa no mwaka wa 9 nimetumia dawa za hospital lakn bado dawa za mitishamba nimetumia lkn bado naangaika. Kuna MTU kama anajua utatuzi wa hili tatizo anambie
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app