Nina tatizo la kupata mafua muda wowote wakat wowote,nina alergy na vumbi
harufu za pafyum,manyoya pamoja na vingine hata nisivovijua wakat mwingine .
Pia wakati wa usiku hua nasugua sana masikio na koo mpk wakati mwingine napata vidonda.
Ushauri tafadhali.