Penelope
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 713
- 642
Nina tatizo la kupata mafua muda wowote wakat wowote,nina alergy na vumbi
harufu za pafyum,manyoya pamoja na vingine hata nisivovijua wakat mwingine .
Pia wakati wa usiku hua nasugua sana masikio na koo mpk wakati mwingine napata vidonda.
Ushauri tafadhali.
harufu za pafyum,manyoya pamoja na vingine hata nisivovijua wakat mwingine .
Pia wakati wa usiku hua nasugua sana masikio na koo mpk wakati mwingine napata vidonda.
Ushauri tafadhali.