Mafua na Kikohozi unapokua usingizini

akohi

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
787
Reaction score
526
Habari zenu wataalamu,

Nimekuwa nikijiuliza sana kuwa inakuwaje mtu hata kama umebanwa mafua vipi au kikohozi, yaani unapolala isingizi tu na yenyewe yanakata hata kama yalikuwa yale yanayochirizika yenyewe ila mara tu unapoamuka tu...ndo shuguri inaendelea
 
Mmmmmhhhh!!! Hii experience ni unique kwako tu Mkuu! Haitokei kwa wengi
 
kwamaoni yangu, mimi naona ni kinyume chake, usingizi hukujia tuu mara upatapo nafuu ya mafua au kikohozi.Ndio maana kuna watu husema jana sikupata usingizi kwasabau ya mafua na/au kikohozi!
 
leo kazi ipo...haya wataalamu akohi ndo huyo kaja na matatizo lukuki...
lazima mrudi vyuoni,,,kuna kozi mtakua mmeiacha...maana hamtoi majibu wajameni
 
Last edited by a moderator:
leo kazi ipo...haya wataalamu akohi ndo huyo kaja na matatizo lukuki...
lazima mrudi vyuoni,,,kuna kozi mtakua mmeiacha...maana hamtoi majibu wajameni

Mkali na Tozz na mimi hapo juu tumetoa jibu
 
Au ndo wamegoma tena japo nimesikia wanaapa hawatarudia mgomo hahaha...these guys are f***ked up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…