akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 787
- 526
Habari zenu wataalamu,
Nimekuwa nikijiuliza sana kuwa inakuwaje mtu hata kama umebanwa mafua vipi au kikohozi, yaani unapolala isingizi tu na yenyewe yanakata hata kama yalikuwa yale yanayochirizika yenyewe ila mara tu unapoamuka tu...ndo shuguri inaendelea
Nimekuwa nikijiuliza sana kuwa inakuwaje mtu hata kama umebanwa mafua vipi au kikohozi, yaani unapolala isingizi tu na yenyewe yanakata hata kama yalikuwa yale yanayochirizika yenyewe ila mara tu unapoamuka tu...ndo shuguri inaendelea