Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
[emoji4][emoji4]Upo vizuri....napona kabla ya hospitalized
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji4][emoji4]Upo vizuri....napona kabla ya hospitalized
Asante sana mkuu,sawa🙏Treatment
Mafua hayana dawa ila Kuna symptomatic treatment na non pharmacological treatment
Symptomatic treatment utapata ukienda kituo Cha afya
Kunywa hot drinks
Light diet
Pumzika (bed rest)
Funika mdomo wako ukikohoa kupiga chafya au kucheka Ili usieneze Kwa wengine
😀 😀 😀 najua utakuwa umepona sasa; achana na saundi zangu; Tatizo likizidi unione mimi daktari bingwa.😳Wacha wee
hahaah hapa niko na speed kama yote scania inakimbia kama mchomoko, namuwahi mgonjwa wangu jaman[emoji41]Nimecheka jamani...nimesahau na ugonjwa
Ungekuwa karibu ningekuja fasta; au pata kahawa ya moto itasaidia kuondoa hilo tatizo kwa mudaSawa👊
Mbeya sehemu gani, kesho nitie timu mapema 😀 😀Wewe Leo hujato.....? Eti? Naona unamihemko kweli🤣🤣🤣🙆
mwambie @equatin x aache mbwembwe mimi nina wivu sana, nitampiga risasi! Namtazama tu[emoji216]Kweli bhana,nisije nikafa na usweet wangu
Kimbia kimbia ruka kamba yanayeyuka kama majiSawa wangu, Asante sana ♥️
😀 😀 umeshindwa kumkandamiza mpaka anakuja kulia lia huku akitafuta dawa ya mafuamwambie @equatin x aache mbwembwe mimi nina wivu sana, nitampiga risasi! Namtazama tu[emoji216]
Ndo najitahidi kumkazia sijui kama atanielewa...maana inaonekana anaupwiru balaa Equation xmwambie @equatin x aache mbwembwe mimi nina wivu sana, nitampiga risasi! Namtazama tu[emoji216]