Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] nimejikuta nachekaMkuu kama ni siri nzito basi na sisi hatuwezi kuijua...maana mtu huwezi kuweka siri nzito ili tu ije kufumbuliwa na jamaa flani wa bongo
ni sanaa tu hamna lolote...ni sawa na bongo muvi, au hollywood...producer akipata idea basi vijana wanaingia mzigoniKwa wajuzi wa mambo ...Yale mapicha na mafumbo yote katika nyimbo ya mpya inayoitwa APES_T -The Carters yanamaanisha nini ...sababu naona kama kuna siri nzito zimejificha hapo ....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maana yake Mtapata tabu sana muda si mrefu
Lipia tangazo, maana tayari umenipeleka youtube kuanzangaliKwa wajuzi wa mambo ...Yale mapicha na mafumbo yote katika nyimbo ya mpya inayoitwa APES_T -The Carters yanamaanisha nini ...sababu naona kama kuna siri nzito zimejificha hapo ....