Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Nahitaji body la landrover discovery mwenye nalo ani pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LR Discovery ipi mkuu be specificNahitaji body la landrover discovery mwenye nalo ani pm
TD 5 mkuu,natanguliza shukranLR Discovery ipi mkuu be specific
Ok!ngoja nikuulizie kwa washkajiTD 5 mkuu,natanguliza shukran
Sawasawa nasubir mkuuOk!ngoja nikuulizie kwa washkaji
Sawasawa nasubir mkuuOk!ngoja nikuulizie kwa washkaji
Mtu niliemuulizia nae hana mkuuSawasawa nasubir mkuu
Temeke au gerezani wanafanya izo kazi,bei ni maelewano coz hazipo standardAlafu wapi wanachomelea bodi za magari na bei zake kwa mkoa wa dar maana gari yAngu(suv car) inakutu na matobo.
Mkuu naomba uendelee kuulizia na mim ntaendelea kutafutaMtu niliemuulizia nae hana mkuu
Aisee pamoja brother, tutawasilianaPablo Blanco hapa Johannesburg yapo mengi shida ni gharama ya kulibeba mpaka zambia tuu maana pale mpaka Nakonde sio gharama kupakia mizigo truck nyingi zinarudi tupu Tanzania ukikosa kabisa tukijaaliwa mwezi wa pili napakia tractor kuja Tanzania tutawasiliana yapo mengi na bei hayana ila kubeba ndio itakua juu kidogo...