Mafundi magari wa JF

sina ufundi wa kusomea darasani ila nina idea ya umeme wa magari kama upo iringa tunaweza wasiliana kwa utatuzi wa tatizo lako.
 
Salaama wadau,mi nataka kufahamu kuhusu obd2 diagnosis machine,bei zake zikoje,wapi zinauzwa,ubora na uwezo,bila kusahau ushauri wa machine ipi nzuri kwa Kazi.
 
Salaama wadau,mi nataka kufahamu kuhusu obd2 diagnosis machine,bei zake zikoje,wapi zinauzwa,ubora na uwezo,bila kusahau ushauri wa machine ipi nzuri kwa Kazi.
HIZO MASHINE NIKAMA SIMU VILE ila angalia usije ukaangukia pua tyuu.

sharti la mashine ushauri wa ipi ni nzuri weka bajeti yako kwanza
 
Wakubwa Habari ya asubuhi

Gari ya jamaa yangu ni automatic transmission (sio manual), akipiga moto gari yake (hasa kwenye mlima) inastuck, inakuwa kama inagoma kupanda, hivyo anakuwa anakanyanga mafuta Kwa kuvizia vizia , akikanyaga mafuta sana (mlimani) gari inakuwa nzito, inagoma kwenda na hata kuzima, ikishazima akiwasha inaweza isiwake, mpaka ikae Kwa muda Ndio akiwasha inawaka na anaanza safari.

Aidha, gari likienda Mwendo mrefu, mfano 50km huanza kuonyesha taa za check engine, VSC na 4wd endapo ataendelea kuendesha gari litakosa nguvu/ litaanza kuonyesha kugoma kwenda - kama nilivyoeleza hapo juu, na wakati mwingine Ukiwa kwenye foleni ya muda mrefu gari huanza kuwasha taa zoote kwenye dashboard na hata kuzima, and kama halijazima ukikanyaga mafuta litaanza Mwendo Kwa shida Sana na kuchanganya taratibu

Au, iwapo litazima ikitaka kuwasha litashindwa kupiga starter, itabidi ukae kama nusu saa hivi na ukiwasha litawaka utaendelea na safari yako kwa umbali wa hata km 20 then Tatizo kusita kwenda speed linaanza tena.

Je Tatizo ni nini, ?
 


Kwa wale Wote Wenye Magari ambayo taa za mbele za Magari yenu zina Ukungu, Unjano au Kupauka Basi Sasa huna haja ya KUNUNUA TAA MPYA nasafisha Taa hizo na kuzirudisha Katika Ubora wake wa Mwanzo kwa Kutumia teknolojia ya Kisasa kabisa na Kutumia Mashine Maalumu na kuzifanya Taa za Gari yako Kurudi kwenye Hali yake ya Upya lakini Kukupa Mwanga wa Kutosha Zaidi Wakati wa USiku lakini Inakusaidia Kupunguza Matumizi ya Full Lights sehemu ambayo hustahili kutumia kwasabau mwanga unakuwa wa kutosha.

Baada ya Kusafisha Taa zako zinabaki kuwa Hivyo kwa muda wa kuanzia Miaka Miwili na kuendelea
Lakini Gari Lako linakuwa na Muonekano unaovutia.

Gharama ni Shilingi za Kitanzania Elfu 35 tu Napatikana Segerea Mwisho ndani ya Eneo la Kituo cha Daladala au Naweza kukufuata Popote Ulipo Kwa Mawasiliano 0712 390 200 Karibu wote

I am the Best to Give you the Best Service in Town
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…