Mafundi na wataalamu wa ujenzi nipe mawazo

Mm najenga ml4 kama kiwanja kipo unacho takifa fufanya tu nikupanga cku ya kuhamia kwako
 
nipo maeneo ya salasala pia nipo karibu na mchanga vilevle nipo karib na wafyatua matofali
Kiwanja si unacho? Think of simple house ambayo haitatumia zaidi ya matofali 1500. Vyumba viwiwli, choo, jiko na sebure. Anzia hapo, utafanikiwa tu.
 
hiyo nyumba yako ina ukubwa kiasi gan na mpaka kukamilika kwake ulitumia sh ngapi
binafsi nina plot na mchanga wa kutosha
Vyumba viwili kimoja master, sitting Room, jiko na store na public toilet.
Bahati nzuri kiwanja nilikuwa nacho, nikatumia tofali za kuchoma(kwa sabbu ndo zilikuwa zinapatikana kwa urahisi, nikajengea tope(Morta). Ilipofika usawa wa madirisha nikapiga linta(ya nondo mbili mbili). kisha juu nikamalizia tofali za kuchoma na mota ya tope. that's how i began. Kimsingi tunapaswa kutumia simple rasilimali tulizonazo ili kupata maendeleo. Ukifanya complications na kishwa kushindwa ni maamuzi yako pia.
 
Wazee nafikiria kuanza maisha nikiwa na kibanda changu.
Nijiandae na kiasi gani ili niweza kujenga vyumba 2 na seble toi na jiko humohumo.

Kwanza kabisa tafuta wa taarabu kama Mimi,

Kisha wajue upo eneo gani, watambue gharama za material za eneo husika Kisha watachora ramani ambayo wewe na kipato chako unaweza I jenga.
0754686286 nitafute nikujuze mimi nimtaaramu wa ujenzi na uchoraji kwa ujumla.
 
aina noma nimekupata kaka
 
Jana nikiwa na mzee nilifunguka kuhusu hili swala akaniambia hivi
nisiwaze kujenga nyumba ndogo kwa kua nyumba ya kuishi io ni bora ukajipanga zaii ili ukijenga uwe umejenga kabisa kuliko kujenga saizi kisha baada ya muda uwe na haja ya nyumba nyingine kubwa zaidi.we ungefanyaje
 
Wadau wamekupa somo zuri sana anza mdogo mdogo usiutumie ushauri wa huyu mzee na kumbuka kwako kwako tu..
 
Wazee nafikiria kuanza maisha nikiwa na kibanda changu.
Nijiandae na kiasi gani ili niweza kujenga vyumba 2 na seble toi na jiko humohumo.
Matofali 1000=1,100,000
Mchanga trip 2 ndogo zatosha=120,000 x 2=480,000
maji=itategemea upo wapi
cement mifuko 20 tosha=12,000x20=utamalizia
gharama ya fundi tafuta mnywaji....mtakwenda sawa........
 
Matofali 1000=1,100,000
Mchanga trip 2 ndogo zatosha=120,000 x 2=480,000
maji=itategemea upo wapi
cement mifuko 20 tosha=12,000x20=utamalizia
gharama ya fundi tafuta mnywaji....mtakwenda sawa........
safi.nimukubali kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…