X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Nilikuwa na simu yangu.... VIWA MAX...ilipata creack ya kioo cha nje...niliifungua nikaenda kununua kioo cha nje ila nilipata sana shida kukipata...
Kipindi naifunga hii simu bahati mbaya kioo cha ndani kikapata creack nacho na kikajimwagia wino...
Je naweza kupata kioo cha ndani...maana nilihangaika sana kupata kioo cha nje...naomba mnisaidie je vioo vya ndani vinaweza kuingiliana¿
Yani kioo cha ndani cha huawei kwenda tekno¿?
Kipindi naifunga hii simu bahati mbaya kioo cha ndani kikapata creack nacho na kikajimwagia wino...
Je naweza kupata kioo cha ndani...maana nilihangaika sana kupata kioo cha nje...naomba mnisaidie je vioo vya ndani vinaweza kuingiliana¿
Yani kioo cha ndani cha huawei kwenda tekno¿?