ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Nimemeki nimenunua gari nikaendesha wiki moja liko poa kila kitu kipo sawa.
Nikapata wazo kwakuwa nimenunua kwa mtu halafu mi siko deep na magari acha nilipeleke kwa fundi akaicheki ili kama kuna sehemu kuna tatizo tuliweke sawa.
Bwanawee baada ya kumpa fundi akaniambia matatizo lukuki mara stering rak mara bush mara nini. Nikamwambia poa we check nalo tu kinachofaa kubadilishwa badilisha ili litengemae.
Baada ya wiki jioni hii ndio natoka kulifata gari langu halipo tena kama vile. Kwanza ili kuondoka garage ilibidi ni busti betri kifupi betri imekufa. Gari haikai sailensa inazima. Dash bod taa ya eabag na abs haizimi. Stering ngumu kama fiat. Honi haipigi. Nimeambiwa tatizo inaweza kua sababu ya betri.
Walah nimerudi nayo nyumbani stress zimenijaa najuta kuipeleka kwa fundi yule
Nikapata wazo kwakuwa nimenunua kwa mtu halafu mi siko deep na magari acha nilipeleke kwa fundi akaicheki ili kama kuna sehemu kuna tatizo tuliweke sawa.
Bwanawee baada ya kumpa fundi akaniambia matatizo lukuki mara stering rak mara bush mara nini. Nikamwambia poa we check nalo tu kinachofaa kubadilishwa badilisha ili litengemae.
Baada ya wiki jioni hii ndio natoka kulifata gari langu halipo tena kama vile. Kwanza ili kuondoka garage ilibidi ni busti betri kifupi betri imekufa. Gari haikai sailensa inazima. Dash bod taa ya eabag na abs haizimi. Stering ngumu kama fiat. Honi haipigi. Nimeambiwa tatizo inaweza kua sababu ya betri.
Walah nimerudi nayo nyumbani stress zimenijaa najuta kuipeleka kwa fundi yule