colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,912
Ni kweli bila tamani si rahisi kupata ushauri mi ni fundi lakini angalau raf sketch atupatieUkionesha ramani bila shaka watakupa muongozo mkuu.
Hongera sana kwa hatua hiyo
Kashaniambia....nataka nifanye.....ulinganisho mkuu si unajua ..kwa ajil ya cost managementYaani hujaanza hata msingi tayari unauliza estimate ya material? kama upo serious na ujenzi hivyo vyote utaambiwa na fundi wako....
Kashaniambia....nataka nifanye.....ulinganisho mkuu si unajua ..kwa ajil ya cost management