colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,912
Habar wakuu.....
Ninaomba ndugu zangu mafundi wa ujenzi wa nyumba muniseidie tathmini kidogo ya vitu ili niweze kujenga msingi wa nyumba yangu
Targets ni vyumba 3 kimoja masters , viwili kawaida
Sebule, jiko , ki dinning , na choo cha jumuiya
Naomba kujuzwa kwa targets hizo nahitajika kua na nondo kama ngapi
Saruji mifuko mingap
Mchanga
Na kokoto....
Mnakaribishwa wakuu.....nitashukuru sna
Ninaomba ndugu zangu mafundi wa ujenzi wa nyumba muniseidie tathmini kidogo ya vitu ili niweze kujenga msingi wa nyumba yangu
Targets ni vyumba 3 kimoja masters , viwili kawaida
Sebule, jiko , ki dinning , na choo cha jumuiya
Naomba kujuzwa kwa targets hizo nahitajika kua na nondo kama ngapi
Saruji mifuko mingap
Mchanga
Na kokoto....
Mnakaribishwa wakuu.....nitashukuru sna