Asante mkuu ngoja niwachek hawa Mr IstKuna jamaa wanjiita ‘MR. IST’ unaweza ukawapata instagram. Siwajui personally lakini naona wamefamya kwa muda sasa kazi za dualis na xtrail, wana spare pia na oil n.k.
Ukiwapata bila shaka watakupa na ushauri mwingine wa jinsi ya kutumza hiyo gari.
Ila kwa haraka haraka make sure engine na gearbox zinapata oil sahihi kwa ajili ya hiyo gari na kwa wakati sahihi, service kwa wakati na make sure coolant level iko sawa kila wakati. Usiende kwa kila fundi
Hongera sana sana. Ni gari nzuri mno, kimuonekano na ina starehe ya hali ya juu. Dualis inaitwa Tanzanian SweetheartHabari ndugu wana jamii forum,
Nimejikongoja kidogo nimenunua Nissan Duals naombeni ushauri kuhusu mafundi wazuri maana hii gari naipenda sana japo watu wanadai ina changamoto nyingi ila kwa upande wangu naikubali sana hii gari
Ni leather bro. Hebu edit basi tuepukane na aibu ndogo ndogo.Hongera sana. Pale kwenye mafra kubwa kuja kwenye engine wapunguze Yale mapamba kwa pembeni. Pili usilioshe kwa presure ya maji. Hasa kwenye engine. Waoshe kawaida tu. Ikiwezekana engine wawe kama wanaifuta hivi badala ya kupiga maji mengi.
3. Hiyo senser ya mlango wa nyuma,ile switch ya kufungua buti isipigwe presure,inahifadhi maji yakipigwa kwa presure hii ni pamoja na Subaru nyingi.
4. Hiyo roof ya juu ya kufungua hivi usiichezeechezee inaweza kugomea upande iwe nyuma.
5. Hiyo roof ya minguo nguo hiyo pamoja na hiyo ya kwenye kiegemeo cha milango yote ukipata hela nenda kwa fundi rezer (fundi sit cover) akayang'oe hayo manguo,piga rezer kote ili baadae yasikukere
Hongera
Aibu itampata nani mkuu?. Muhimu wanaolengwa pamoja na wewe umeelewa mpaka kuanza kuremba mwandiko. Sinaga aibu kwenye mambo yaliyonyooka.,ili mradi tu sijamvunjia mtu heshimaNi leather bro. Hebu edit basi tuepukane na aibu ndogo ndogo.
Mastercard Tanzania Limited Msimbazi stAsante mkuu ila kwa hapa dar es salaam nazipata wap maana uchakachuaj umekuwa kila sehem now days
Vp kihusu engene oil na gearbox oil ?Hongera sana. Pale kwenye mafra kubwa kuja kwenye engine wapunguze Yale mapamba kwa pembeni. Pili usilioshe kwa presure ya maji. Hasa kwenye engine. Waoshe kawaida tu. Ikiwezekana engine wawe kama wanaifuta hivi badala ya kupiga maji mengi.
3. Hiyo senser ya mlango wa nyuma,ile switch ya kufungua buti isipigwe presure,inahifadhi maji yakipigwa kwa presure hii ni pamoja na Subaru nyingi.
4. Hiyo roof ya juu ya kufungua hivi usiichezeechezee inaweza kugomea upande iwe nyuma.
5. Hiyo roof ya minguo nguo hiyo pamoja na hiyo ya kwenye kiegemeo cha milango yote ukipata hela nenda kwa fundi rezer (fundi sit cover) akayang'oe hayo manguo,piga rezer kote ili baadae yasikukere
Hongera
Tule mrejesho mkuuHabari ndugu wana jamii forum,
Nimejikongoja kidogo nimenunua Nissan Duals naombeni ushauri kuhusu mafundi wazuri maana hii gari naipenda sana japo watu wanadai ina changamoto nyingi ila kwa upande wangu naikubali sana hii gari
Engine oil na hydraulic kama utapata za Nissan original itakuwa bora sana. Kama huna uhakika na Nissan original. Tumia hata ATRANTIC wako poa. Oil iwe 5W30.Vp kihusu engene oil na gearbox oil ?
Mrejesho mkuu ni kwamba gari iko poa tu, tangu nmenunua sijawahi kugusa kwenye engine zaidi ya kubadilisha engine oil, shock up pia zilizingua nikabadilisha japo nlienda kwa mafundi nnaowaamini maana nlikuwa nackia sauti inagonga kwa mbalii sasa nikapeleka garage moja hapo sinza wakaangalia wakasema ni tairod end nikabadilisha tatzo likaendelea nikarud tena wakasema inabidi kushusha kifua nikashusha lakn tatzo likaendelea, ilibid niwamind sana maana nikama hawana uhakika na tatzo sasa wanakufanya unaingia gharama kwa vtu ambavyo havikuwa na ulazima, na wakishafungua kitu hata kama hakijaharibika wanalazimisha tu kuwa ni kibovu tubadilishe sasa baadaye fundi yule yule aliyesema ni kifua akasema tena itakuwa shock up daah nlichoka ila mwisho wa siku nliweka shock up mpya tatizo likaisha, ila kiu ukweli hawa mafundi wetu wanabuni matatzo hawana uelewa mzuri, so tatzo kubwa ni hilo gari haijawahi kuwa na shida nyingneTule mrejesho mkuu
Eti Wapunguze mapamba!Hongera sana. Pale kwenye mafra kubwa kuja kwenye engine wapunguze Yale mapamba kwa pembeni. Pili usilioshe kwa presure ya maji. Hasa kwenye engine. Waoshe kawaida tu. Ikiwezekana engine wawe kama wanaifuta hivi badala ya kupiga maji mengi.
3. Hiyo senser ya mlango wa nyuma,ile switch ya kufungua buti isipigwe presure,inahifadhi maji yakipigwa kwa presure hii ni pamoja na Subaru nyingi.
4. Hiyo roof ya juu ya kufungua hivi usiichezeechezee inaweza kugomea upande iwe nyuma.
5. Hiyo roof ya minguo nguo hiyo pamoja na hiyo ya kwenye kiegemeo cha milango yote ukipata hela nenda kwa fundi rezer (fundi sit cover) akayang'oe hayo manguo,piga rezer kote ili baadae yasikukere
Hongera
Maura Auto Garage 0754 284864 utakuja nishukuruMrejesho mkuu ni kwamba gari iko poa tu, tangu nmenunua sijawahi kugusa kwenye engine zaidi ya kubadilisha engine oil, shock up pia zilizingua nikabadilisha japo nlienda kwa mafundi nnaowaamini maana nlikuwa nackia sauti inagonga kwa mbalii sasa nikapeleka garage moja hapo sinza wakaangalia wakasema ni tairod end nikabadilisha tatzo likaendelea nikarud tena wakasema inabidi kushusha kifua nikashusha lakn tatzo likaendelea, ilibid niwamind sana maana nikama hawana uhakika na tatzo sasa wanakufanya unaingia gharama kwa vtu ambavyo havikuwa na ulazima, na wakishafungua kitu hata kama hakijaharibika wanalazimisha tu kuwa ni kibovu tubadilishe sasa baadaye fundi yule yule aliyesema ni kifua akasema tena itakuwa shock up daah nlichoka ila mwisho wa siku nliweka shock up mpya tatizo likaisha, ila kiu ukweli hawa mafundi wetu wanabuni matatzo hawana uelewa mzuri, so tatzo kubwa ni hilo gari haijawahi kuwa na shida nyingne
Maura Auto Garage ipo tabata 0754 284864 hutajuta maana Nissan aina zote ni nyumbaniHabari ndugu wana jamii forum,
Nimejikongoja kidogo nimenunua Nissan Duals naombeni ushauri kuhusu mafundi wazuri maana hii gari naipenda sana japo watu wanadai ina changamoto nyingi ila kwa upande wangu naikubali sana hii gari