Mnyiramba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,141
- 3,119
Mimi ni kati ya watu wenye ndoto za kujenga ghorofa, lakini mada nyingi zimekuwa zinaibuka humu kwamba gharama ya ghorofa ni kubwa sana hasa gharama kubwa inakuwa ni msingi na nguzo zile zinazosimamisha ghorofa!
Lakini nimejatibu kufanya utafiti mbali mbali wenzetu wanajenga vipi huko kwenye mabara mengine!
Nilichogundua wenzetu kuna ghorofa zinajengwa bila zile nguzo kabisa yaani ghorofa inasimama na kuta tu pekee, na inakuwa imara kabisa!
Je, wafundi wetu wanakwama wapi? ama ndio wamekariri kuwa bila nguzo huwezi kujenga ghorofa?
Lakini nimejatibu kufanya utafiti mbali mbali wenzetu wanajenga vipi huko kwenye mabara mengine!
Nilichogundua wenzetu kuna ghorofa zinajengwa bila zile nguzo kabisa yaani ghorofa inasimama na kuta tu pekee, na inakuwa imara kabisa!
Je, wafundi wetu wanakwama wapi? ama ndio wamekariri kuwa bila nguzo huwezi kujenga ghorofa?