Mafundisho ya Mohammad yanayokinzana na Yesu kristo

Ndio ujue tofauti ya giza na Nuru. Shetani hajawahi kuacha kutaka kuchakachua kile cha Mungu. Ila ameshindwa vibaya mno!
 
IPO HIVI

JINA LA MTUME

KITABU ALICHOPEWA

WAYAHUDI

WAKRISTO

WAISLAMU

IBRAHIMU(AS)

SUHUF (kurasa chache sio kitabu)

Wanamuamini

Wanamuamini

Wanamuamini

MUSA (AS)

TAURATI

Wanamuamini

Wanamuamini

Wanamuamini

DAUDI (AS)

ZABURI

Wanamuamini

Wanamuamini

Wanamuamini

YESU/ISA
( AS)

INJILI

HAWAMUAMINI

Wanamuamini

Wanamuamini

MUHAMMAD (SAW)

QURAN

HAWAMUAMINI

HAWAMUAMINI

Wanamuamini

QURAN 3: 84-85
84. "Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haka na Yakubu na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
85. Na anayefuata dini isiyo kuwa ya Uislamu haitakubaliwa kwake. Na yeye katika akhera atakuwa ni mwenye kupata hasara.."

SUMMARY
Kwa kifupi pepo ikiwa ni ya Waislamu basi wakristo na wayahudi hawataingia kwani hawajamuamini Mtume Muhammad SAW. ILA pepo ikiwa ni ya wakristo au ni ya wayahudi basi waislamu wamo kwani waislamu wamewaamini Mitume wote waliokuja kabla ya Muhammad SAW
 
Yesu anarudi kuhukumu watu wote so be ready
 

Attachments

  • IMG_9708.jpeg
    77.7 KB · Views: 8
Pepo zipo 2 ya Wakristo na ya Waislam: Pepo ya Wakristo aina Mabikra 72 . Luka 20:32-35
32Mwishowe akafa pia yule mwanamke.33Je, siku wafu watakapofufuliwa, mwanamke huyo atakuwa mke wa nani? Alikuwa ameolewa na wote saba."

34Yesu akawaambia, "Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa; 35lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa.
 
Yesu Kristo ni mpango Mungu wa wokovu kwa wanadamu Mudy ni mpango wa upotovu(Shetani) kwa wanadamu.

Mwenye akili hung'amua ila mpumbafu hushupaza shingo na kuangamia milele.
Kwamba..
 

Attachments

  • FB_IMG_1733849512712.jpg
    46.2 KB · Views: 8
Jana nimeona hii sehemu, mleta mada hebu icheki labda inaweza kuongeza kitu kwenye andiko lako
 

Attachments

  • IMG_4775.png
    504.5 KB · Views: 9
Acha kumlinganisha YESU na vitu vidogo mleta mada.

YESU ni mwanzo na mwisho. Siku ya kiama atakuja kuhukumu ulimwengu na kufufua wafu ikiwa ni pamoja na Mtume Mohamed (SAW).
Lazima kila mtu atatoa hesabu za dhambi zake mbele zake
 
YESU sio mtume PUMBAVU MKUBWA WW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…