Ni matuaini kuwa wote humu jukwaani.
Awali ya yote namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kwa mara ya kwanza kushiriki katika jukwaa hili; natumaini nitapokelewa.
Nimekuja katika jukwaa hili, kama ambavyo kichwa cha habari kinajieleza kufahamu kutoka kwa wajuzi wa mambo kuhusiana na mafundo ya maisha ni nini? Kwanini yanaitwa mafundo ya maisha? Je, yanatokana na nini? Athari zake ni zipi?
Je, haya mafundo ya maisha yanawapata nani hasa? Je, unayatambuaje? Na je, yana tiba?
Kuhusu familia kama kilele cha jamii na jamii yenyewe, wanao ufahamu juu ya mafundo ya maisha? Nini athari zake katika maendeleo ya binadamu?
Nafahamu jukwaa limesheheni watu mbalimbali na wenye ujuzi mkubwa katika nyanja mbalimbali za maisha, mathalani dini, uchumi, teknolojia, utamaduni n.k.
Lengo ni kujifunza na kuelewa zaidi kuelekea kuyajua maisha kwa jinsi yake na yaliyomo ndani yake binadamu.
Natanguliza shukurani, karibuni!
Awali ya yote namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kwa mara ya kwanza kushiriki katika jukwaa hili; natumaini nitapokelewa.
Nimekuja katika jukwaa hili, kama ambavyo kichwa cha habari kinajieleza kufahamu kutoka kwa wajuzi wa mambo kuhusiana na mafundo ya maisha ni nini? Kwanini yanaitwa mafundo ya maisha? Je, yanatokana na nini? Athari zake ni zipi?
Je, haya mafundo ya maisha yanawapata nani hasa? Je, unayatambuaje? Na je, yana tiba?
Kuhusu familia kama kilele cha jamii na jamii yenyewe, wanao ufahamu juu ya mafundo ya maisha? Nini athari zake katika maendeleo ya binadamu?
Nafahamu jukwaa limesheheni watu mbalimbali na wenye ujuzi mkubwa katika nyanja mbalimbali za maisha, mathalani dini, uchumi, teknolojia, utamaduni n.k.
Lengo ni kujifunza na kuelewa zaidi kuelekea kuyajua maisha kwa jinsi yake na yaliyomo ndani yake binadamu.
Natanguliza shukurani, karibuni!