MAFUNZO KUTESA WATU na KUUA ni FANI KAMA FANI NYINGINE?? UNaweza aga kwenu ukaenda somea???

MAFUNZO KUTESA WATU na KUUA ni FANI KAMA FANI NYINGINE?? UNaweza aga kwenu ukaenda somea???

fikirikwanza

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
7,452
Reaction score
3,071
Kumekuwa na wimbi la watu kuteswa na kuumizwa, harufu inakwenda mbali sana ambako palipaswa yatoke maneno matakatifu iwe ni kwa muumini au aiyemuumini.

Inagusa eti Usalama, Je ni kweli mtu anaweza kumaliza masomo yake akaaga kwa baba na mama yake kuwa anaenda kusomea kutesa na kuua watu ili mradi tu akiambiwa afanye hivyo na watu ambao anawaheshimu sana??? Je hii ni fani kama uhandisi, IT, Habari, Unesi etc???

Hivi kweli una akili timamu, unakubali kuua mtu kisa tu kasema au ana taarifa ambazo ni za kweli na vile zitamgharimu cheo au fedha unakubali ukamtese au kumuua, au kumtoa macho??? kweli wewe ni binadamu??? binadamu wote ni sawa, wengine sio kama ni binadamu kabisa, ulituimia akili sana kupata na kufaulu hiyo fani??? yaani kwenu uliaga na unawatumia fedha kama mchango wako ukiwa umewaambia kazi unayofanya???? yaani babu yako anakwambia mjukuu wangu jitahidi ufanyakazi yako vizuri??? hivi hii ni kazi halali kwa mjibu wa sheria zetu???

Naomba nisaidiwe hili likoje??? mtu anasomea kudhuru watu wengine???
 
Yeah_ni fani kama fani zingine mkuu,..na mind you kila nchi ina kitengo maalum kwa ajili hiyo....wadunguaji ni noooouma....sema wakwetu ni washamba na mamburura...
 
Hicho kiundi cha utesaji muhimu mkuu...kila serikali inacho hicho kikundi cha siri...Ni proffesion kabisa watu wanasomea....unadhani ni kazi rahisi watu kutumia dakika si zaidi ya tano na wameng'oa kucha macho wametoboa na taya wamevunja kama walivomfanyia kibanda??? hao ni secret service mkuu
 
Ni fani kabisa. Lakini mara nyibgi utesaji huu ni maalumu kwa ajili ya kuextract information. Anajua kipi atakufanyia mpaka uongee. Na anajua kama ukipita level fulani basi wewe sio civilian. Lengo ni kukutesa lakini hawakuui mpaka wapate watakacho.
 
Kuanzia awamu hii ya 4 ndo watakuwa wanahalalisha hii kitu
 
Kumekuwa na wimbi la watu kuteswa na kuumizwa, harufu inakwenda mbali sana ambako palipaswa yatoke maneno matakatifu iwe ni kwa muumini au aiyemuumini.

Inagusa eti Usalama, Je ni kweli mtu anaweza kumaliza masomo yake akaaga kwa baba na mama yake kuwa anaenda kusomea kutesa na kuua watu ili mradi tu akiambiwa afanye hivyo na watu ambao anawaheshimu sana??? Je hii ni fani kama uhandisi, IT, Habari, Unesi etc???

Hivi kweli una akili timamu, unakubali kuua mtu kisa tu kasema au ana taarifa ambazo ni za kweli na vile zitamgharimu cheo au fedha unakubali ukamtese au kumuua, au kumtoa macho??? kweli wewe ni binadamu??? binadamu wote ni sawa, wengine sio kama ni binadamu kabisa, ulituimia akili sana kupata na kufaulu hiyo fani??? yaani kwenu uliaga na unawatumia fedha kama mchango wako ukiwa umewaambia kazi unayofanya???? yaani babu yako anakwambia mjukuu wangu jitahidi ufanyakazi yako vizuri??? hivi hii ni kazi halali kwa mjibu wa sheria zetu???

Naomba nisaidiwe hili likoje??? mtu anasomea kudhuru watu wengine???
Mkuu hujasikia kuhusu water boarding na mbinu nyingie nyingi.Nia ku inflict severe unbearable pains ambazo zitakufanya usalimu amri.Mbinu hizi zinafanyiwa research na wanshiriki watu wa fani za udaktari ambao wanaweza kuangalia parameter fulani na kushauri mateso yasimamishwe au yaendelee.
Ni mambo ambayo hayafai kusimulia lakini uki google utayaona na picha pia.
 
Mi nilidhani intelejensia ni akili zaidi na sio nguvu hata kidogo; Nilidhani watu wanafundishwa viashiria vya mambo na sio kupiga watu au kutesa, nilijua kutesa ni kosa kama makosa mengine, yaani watu kupigana ni kosa harafu kutesa mtu inakubalika??? tena inamilikiwa na serikali??? kwa hiyo serikali ni sawa kwa namna fulani na genge la magaidi????
 
"We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

Yeah_ni fani kama fani zingine mkuu,..na mind you kila nchi ina kitengo maalum kwa ajili hiyo....wadunguaji ni noooouma....sema wakwetu ni washamba na mamburura...
 
"We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

Yeah_well said by Dalai Lama mkuu.
 
Kwani haya manyuklia na ma mizaili yametengenezwa kwa ajili ya kuua wanyama gani? Si bibadamu?
Jiulize, unaweza ajiriwa na kiwanda cha kutengeza bunduki au mabomu?

Swali linafikirisha sana hili_na hasa ukisoma kwenye mistari mkuu.
 
Intelijensia ni neno la kizungu, wenzetu wanamaanisha hivyo, mtu mwenye akili, mtu wa interijensia ulaya ni lazima uwe na kipaji maalumu, hapa kwetu ni tofauti, sijui vigezo wanavyotumia kwa sasa, wakati wa mwalimu alichukua wanafunzi wanaofanya vyema na kuwapeleka tabora school, toka hapo jeshini, anabaki na vijana wachapakazi


Mi nilidhani intelejensia ni akili zaidi na sio nguvu hata kidogo; Nilidhani watu wanafundishwa viashiria vya mambo na sio kupiga watu au kutesa, nilijua kutesa ni kosa kama makosa mengine, yaani watu kupigana ni kosa harafu kutesa mtu inakubalika??? tena inamilikiwa na serikali??? kwa hiyo serikali ni sawa kwa namna fulani na genge la magaidi????
 
Yes kutengeneza bunduki au bomu sio sawa na kutesa, ng'oa kucha, meno, etc, kuua raia kwa mateso makali, bunduki na bomu yanatumika wakati wa kulinda mipaka, kupiga majambazi sio hata kwa vibaka wadogo hawa, so you see the tofauti?
 
Back
Top Bottom