MAFUNZO KUTESA WATU na KUUA ni FANI KAMA FANI NYINGINE?? UNaweza aga kwenu ukaenda somea???

MAFUNZO KUTESA WATU na KUUA ni FANI KAMA FANI NYINGINE?? UNaweza aga kwenu ukaenda somea???

Mi navojua ni kitengo kama vitengo vingine mada kama hizi anaziweza kuzielezea shushu JB where are you comrade we real mis you dude.
 
Naona ni sahihi kitengo kuwapo kwani kinahitajika. Nisichokubaliana nacho ni kwamba haipaswi kitesa hadi kuua kwa sababu mnatofautiana kwenyd itikadi za kisiasa. Hao watesaji hawajawahi kuteswa otherwise wasingekuwa na kucha. Sidhani kama kwa wenzetu wanatesa wenzao hivyo. Labda vitani. Hivi baada ya kumng'oa mtu kucha, jino na kumtoboa jicho bado unaweza kusali? Naona kule jehanum kuna sehemu tofauti kwa makosa tofauti.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Yes kutengeneza bunduki au bomu sio sawa na kutesa, ng'oa kucha, meno, etc, kuua raia kwa mateso makali, bunduki na bomu yanatumika wakati wa kulinda mipaka, kupiga majambazi sio hata kwa vibaka wadogo hawa, so you see the tofauti?

Kwan Jambazi sio Mtu?
 
Intelijensia ni neno la kizungu, wenzetu wanamaanisha hivyo, mtu mwenye akili, mtu wa interijensia ulaya ni lazima uwe na kipaji maalumu, hapa kwetu ni tofauti, sijui vigezo wanavyotumia kwa sasa, wakati wa mwalimu alichukua wanafunzi wanaofanya vyema na kuwapeleka tabora school, toka hapo jeshini, anabaki na vijana wachapakazi

By its very nature, a great deal of intelligence gathering is conducted in secret. The collection of valuable information is, accordingly, often a very controversial task, sometimes requiring a great deal of deception, secrecy and the use of questionable – if not illegal – practices to be truly effective. It is thus no wonder that many in the security, political and human rights fields have pointed to the need to establish an adequate legal framework to regulate the activities of intelligence agencies.
 
Back
Top Bottom