min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Nmekuja mkuu , kukosa sio swala la mda tu anaweza kosa mpaka sio anakufa.Ngoja waje kupinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmekuja mkuu , kukosa sio swala la mda tu anaweza kosa mpaka sio anakufa.Ngoja waje kupinga
JidanganyeMUNGU HANA UBAGUZI HATA VILEMA HUJUA JINSI ANAVYO WALIWAZA NA KUWAPA RIZIKI ZAO,,
HATA VILEMA WAKIWAONA WAGONJWA WALIO MAHUTUTI HOSPITALINI CHAKULA KINAPITISHWA KWA MIRIJA NAO WANASEMA BORA NA SISI
NDIO MAANA KUNA VILEMA WANAKULA VIZURI KULIKO HATA WENYE MIGUU NA VIUNGO VYOTE.
MAANA KUNA MWINGINE ANA VIUNGO VYOTE ILA MAISHA YAKE NI HERI NA YA VILEMA.
NDIO MAANA WEWE MZIMA PIA KUNA WAGONJWA,,
WAGONJWA WANAPONA WALIO KUWA WAZIMA WANAUGUA HIVYO TU HAKUNA CHA UPENDELEO
VILEMA WANAISHI WAZIMA NA WENYE MALI WANAKUFA
DUNIANI HUMU NI MSALA NIISHIE HAPA TU [emoji20]
Lwasu likes your comment!!!Maisha ni kama kutafuta switch kwenye chumba kilicho gizani ukizipata Tu unapata mwanga...!!!
Wengine huzaliwa tu na kuwashiwa switch bila hata kutafuta,
wengine huzaliwa switch ipo jirani na mikono yao, wengine mpaka wa struggle, na wengine mpaka wanakufa unakuta hawajafanikiwa kupata switch.
And that's how it is nimekubariana na wewe kwa asilimia nyingi km zote,Maisha ni kama kutafuta switch kwenye chumba kilicho gizani ukizipata Tu unapata mwanga...!!!
Wengine huzaliwa tu na kuwashiwa switch bila hata kutafuta,
wengine huzaliwa switch ipo jirani na mikono yao, wengine mpaka wa struggle, na wengine mpaka wanakufa unakuta hawajafanikiwa kupata switch.
Yeah ni kweli kabisaaaAnd that's how it is nimekubariana na wewe kwa asilimia nyingi km zote,
Wengine inafikia hatua wanafichiwa mpaka hio switch (hii ni kinyume na wale wanaopewa na kuwashiwa tu switch pale wanapozaliwa)
Maana switch inakua imeshikwa na watu wengine ili wamuwashie huyo mtu Ila wao kwa kua wana kaa uzibe wanagoma kumuwashia switch kwa hio wanamfichia ili hata asipate kuiona mpaka anaingizwa kaburini kumbe kuna mshenzi mmoja ametulia tu ameficha switch ya mtu mpaka mtu anakata pumzi switch yake hajawahi kuiwasha wala kuwashiwa
Kaa uzibe sio watu wazuri
Hahaha thanks LwasuLwasu likes your comment!!!
Sawa AtheistJidanganye