Mafunzo kwenye maisha: Kupata ni majaliwa haimaanishi wewe ni bora kuliko mwingine

Jidanganye
 
Lwasu likes your comment!!!
 
And that's how it is nimekubariana na wewe kwa asilimia nyingi km zote,

Wengine inafikia hatua wanafichiwa mpaka hio switch (hii ni kinyume na wale wanaopewa na kuwashiwa tu switch pale wanapozaliwa)

Maana switch inakua imeshikwa na watu wengine ili wamuwashie huyo mtu Ila wao kwa kua wana kaa uzibe wanagoma kumuwashia switch kwa hio wanamfichia ili hata asipate kuiona mpaka anaingizwa kaburini kumbe kuna mshenzi mmoja ametulia tu ameficha switch ya mtu mpaka mtu anakata pumzi switch yake hajawahi kuiwasha wala kuwashiwa

Kaa uzibe sio watu wazuri
 
Amini mkuu huku ukipambana nakuhakikishia utashinda.
Give Up
 
Yeah ni kweli kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…