vuta subila mkuu yatatoka hivi karibun kwa sababu hata selection za certificate bado, yaliyotoka ni kwa walioomba stashahada ya juu (advanced diploma) na stashahada ya shule ya msingi, hata vyuo vingi kama tarime, murutunguru, ndala, na vingine bado hawajatangaza majina so be patient my friend
vuta subila mkuu yatatoka hivi karibun kwa sababu hata selection za certificate bado, yaliyotoka ni kwa walioomba stashahada ya juu (advanced diploma) na stashahada ya shule ya msingi, hata vyuo vingi kama tarime, murutunguru, ndala, na vingine bado
hawajatangaza majina so be patient my friend
Mbona sijaona jina langu niliomba jina langu reuben kabujanja
Wizara ya elimu na mafunzo ilitoa tangazo lakini cha kusikitisha had leo hawajatoa majibu.
Inahusu kusoma advance na diploma miaka mitatu 3. Mwenye tetesi naomba anijulishe maana naona selection za ualimu tayari zimetoka.
Ukweli ni kwa wizara imeshatoa majona ya walioomba ualimu ngazi ya cheti na stashahada,
Isipokuwa sasa kuna mabadiliko makubwa ambayo wengine yanawachanganya wanashindwa kuelewa. Ufafanuzi kama ifuatavyo
Ualimu ngazi ya cheti imefutwa kabisa na bafala yake kuna diploma ya kawaifa ya elimu ya msingi na awali
Ualimu wa sekondari diploma ya kawaida ya elimu ya sekondari nayo imefutwa na badala yake imeanzishwa diploma ya juu ya elimu ya sekondari.
Bridging course kwa form four wenye four imefutwa na hakuna mbadala.
Hivyo kwa mantiki hiyo wale walioomba ualimu ngazi ya cheti na walikuwa na divisheni three two au one wamechaguliwa diploma ya kawaida ya elimu ya msingi na awali kwa miaka miwili na wale form six walioomba diploma ya kawaida wamechaguliwa diploma ya juu ambayo nimiaka mitatu.
Pia kwa wale wa diploma ya juu kwa masomo ya sayansi wanatakiwa waombe mkopo bodi haraka mwisho wa maombi ni tarehe 10/9/2014
Kama bado hujaelewa nitafute kwa 0654817116
Tatizo wizara nao hawatoi majibu kwa huu mkanganyiko ili kuwaweka vijana ktk mstari, lakini mbona wamechelewa kutoa hivi?Usiwavunje moyo wenzako ukweli ni huu kwamba mwaka huu kulikua na namna mbili za uombaji kwanza ni kupitia wizara ya elimu na pili kupitia nacte kwa hiyo basi nacte wameshatoa matokeo yao ambayo yanahusu diproma na wizara ya elimu bado haijatoa matokeo kuthibitisha hili kwamba hata waliopo chuoni ambao wanatarajia kujiunga mwaka wa pili matokeo hayajatoka kwa maelezo zaidi wasiliana na nacte kupitia email adress:admissions@nacte.go.tzwatakupa ufafanuzi kuhusu matokeo waliotoa wao
Mbona kuna mkanganyiko??Special programs za ualimu NACTE walitoa vyuo vyao ambavyo ni pamoja na Udom,St John,Capital TTC na vingine vingi..lakini katika hiyo majina hakuna hata mmoja aliechaguliwa kwenye vyuo niliovitaja...ndo maana yake nini????