bakar wacha kudanganya raia hakuna mabadiliko yaliyotokea course zilizo tangazwa na nacte ndizo wameztolea majibu na wala hakuna course iliyotangazwa na wizara na ikatolewa majibu na nacte jaribu kufuatilia co kuongea tu kwa taarifa kozi zilizotangazwa na wizara zipo chini yake ndio maana ht matangazo yao ulikuwa unatuma kwa katibu mkuu na application za nacte zilikuwa znaenda direct barazani ht kozi pia nitofauti za nacte na wizara fuatilia jmn .
Lupeke & Bakari Hemedi wapo sahihi