Transistor
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,061
- 1,637
Mafunzo huria ya kozi fupi ya electrical pamoja na electronics
Nafundisha kozi zifuatazo,kwa wanafunzi wa vyuo na watu binafsi.
1.Introduction to electronics
*Basic electronics in general
(i)Theory na Practical Tsh 300,000/
*muda miezi 3
2. Audio Amplifire and booster Design and building
(i)Theory Tsh 300,000/
(ii)Practical bure ila vifaa unajitegemea,ukiunda unaondoka nayo.
*muda miezi 2
*Uwe tayari una msingi wa electronics
2.Digital Switching design and building
*Timer and Detector (Digital control,Temperature control,humidity control,Automatic irrigation system,Detector and Counter,Turner,Automation)
*Muda miezi 2
*Uwe tayari una msingi wa electronics
3. Arduino programming and Intergration
(i)Theory Tsh 150,000/
(ii)Practical bure ila vifaa unajitegemea,pia hakikisha una computer binafsi kujifunza kozi hii.
*Muda mwezi 1.
*Uwe tayari una msingi wa electronics na elimu ya computer especial katika language ya C na C++
4.Power system and backup design and building
* Power Inveter (Pure Sine wave and Modified sine wave)
* UPS
*Free electrical energy(green energy).
*Wind and water generators
*Solar energy pannel
(i)Theory Tsh 300,000/
(ii)Practical bure ila vifaa unajitegemea,ukiunda unaondoka nayo.
*Muda miezi 2
*Uwe tayari una msingi wa electronics na electrical
Zingatia
Kwa mwanafunzi/au kikundi cha wanafunzi kitakachotaka kufatwa na kufundishiwa walipo ndani Dar gharama ya ziada ni 100,000
Kama unahitaji mafunzo ya kozi ambazo hazijaandikwa hapa,unaweza kuwasilisha kozi yako na ukafahamu gharama na utaratibu.
Kwa wanafunzi ambao wanahitaji msaada wa kufanya practical za tutorial za electronics gharama ni 50,000/
Kwa msaada wa mafunzo ya practical tu ya kozi hizo hapo juu gharama ni 100,000/
Pia kwa ambao sio wanafunzi wa vyuo,na wanajifunza electronics,binafsi,ambao wanahitaji kurasimisha taaluma yao ya electronics,kupitia VETA,tutawasaidia katika kulitekeleza hilo.
Gharama hizi hazina uhusiano na gharama za urasimishaji wa mafunzo.
Unaweza kwenda VETA kufahamu taratibu zao za urasimishaji wa taaluma yako ya electronics ili uweze kupata cheti.
Pia natoa huduma ya kukuza taaluma yako ya electronics katika practical na theory,kwa wanafunzi,vyuo au mtu binafsi.
Pia tunadesign vifaa mbalimbali vya umeme,kwa shughuli mbalimbali za kijamii.
Mawasiliano 0629068815
Eng.Transistor.
Nafundisha kozi zifuatazo,kwa wanafunzi wa vyuo na watu binafsi.
1.Introduction to electronics
*Basic electronics in general
(i)Theory na Practical Tsh 300,000/
*muda miezi 3
2. Audio Amplifire and booster Design and building
(i)Theory Tsh 300,000/
(ii)Practical bure ila vifaa unajitegemea,ukiunda unaondoka nayo.
*muda miezi 2
*Uwe tayari una msingi wa electronics
2.Digital Switching design and building
*Timer and Detector (Digital control,Temperature control,humidity control,Automatic irrigation system,Detector and Counter,Turner,Automation)
*Muda miezi 2
*Uwe tayari una msingi wa electronics
3. Arduino programming and Intergration
(i)Theory Tsh 150,000/
(ii)Practical bure ila vifaa unajitegemea,pia hakikisha una computer binafsi kujifunza kozi hii.
*Muda mwezi 1.
*Uwe tayari una msingi wa electronics na elimu ya computer especial katika language ya C na C++
4.Power system and backup design and building
* Power Inveter (Pure Sine wave and Modified sine wave)
* UPS
*Free electrical energy(green energy).
*Wind and water generators
*Solar energy pannel
(i)Theory Tsh 300,000/
(ii)Practical bure ila vifaa unajitegemea,ukiunda unaondoka nayo.
*Muda miezi 2
*Uwe tayari una msingi wa electronics na electrical
Zingatia
Kwa mwanafunzi/au kikundi cha wanafunzi kitakachotaka kufatwa na kufundishiwa walipo ndani Dar gharama ya ziada ni 100,000
Kama unahitaji mafunzo ya kozi ambazo hazijaandikwa hapa,unaweza kuwasilisha kozi yako na ukafahamu gharama na utaratibu.
Kwa wanafunzi ambao wanahitaji msaada wa kufanya practical za tutorial za electronics gharama ni 50,000/
Kwa msaada wa mafunzo ya practical tu ya kozi hizo hapo juu gharama ni 100,000/
Pia kwa ambao sio wanafunzi wa vyuo,na wanajifunza electronics,binafsi,ambao wanahitaji kurasimisha taaluma yao ya electronics,kupitia VETA,tutawasaidia katika kulitekeleza hilo.
Gharama hizi hazina uhusiano na gharama za urasimishaji wa mafunzo.
Unaweza kwenda VETA kufahamu taratibu zao za urasimishaji wa taaluma yako ya electronics ili uweze kupata cheti.
Pia natoa huduma ya kukuza taaluma yako ya electronics katika practical na theory,kwa wanafunzi,vyuo au mtu binafsi.
Pia tunadesign vifaa mbalimbali vya umeme,kwa shughuli mbalimbali za kijamii.
Mawasiliano 0629068815
Eng.Transistor.