acha utapeli kiongoziNi PM kwa mawadiliano.
Kweli, huyo ni tapeli. Hiyo gharama ni ndogo sana.mkuu yaani hiyo hela uliyoweka hapo ni makadirio ya kujenga greenhouse au maana sijaelewa
Kwa ufupi laki 2 si chochote wala lolote kwa greenhouse
Kweli, huyo ni tapeli. Hiyo gharama ni ndogo sana.
hyo garama mbona ndogo sna utatumia simtank yalita ngapi?na aina ya material IKOJE?
nyie hamjamuelewa jamaa, yeye alikua anataka tu namba ya huyo binti, baada ya kuvutiwa na avatar yakemkuu yaani hiyo hela uliyoweka hapo ni makadirio ya kujenga greenhouse au maana sijaelewa
mkuu, kuna huyu mdau hapa jukwaani anaitwa greenhouse namba zake hizi 0714 881 500NAHITAJI MSADA
Nina greenhouse na nimepanda nyanya, baada ya miezi miwili zimekua hadi kukaribia juu ya paa huku matunda yakiwa baado madogo sana.
Lakini kibaya zaidi miche inakauka mmoja mmoja bila sababu ya msingi.
Je linaweza kuwa ni tatizo gani?
huu ni utapeli uliopitiliza, kilimo ni vitendo sio kwenye vitabuHabari zenu
Kutokana na umuhimu wa kilimo katika nchi yetu nimeamua name nitoe mchango wangu kama mdau. Watanzania takriban asilimia 80 wameajiriwa au kujiajiri katika sekta ya kilimo yet bado wameanguka katika lindi la umaskini wakati ardhi ya kutosha na yenye rutuba tunayo.
Vijana wengi wamekuwa wakikimbilia mijini kutafuta kazi za kuajiriwa na mwisho wa siku kazi zenyewe hazipatikani wanaishia kuzurura tu mitaani. Wachache wameamua kufanya kilimo kidogo kidogo huku mijini kama vile vibustani na kadhalika, ingawa havina tija.
Watu ambao wamefanikiwa katika kilimo wenye mashamba makubwa wako vijijini ila waliofanikiwa katika kilimo ambao wako mijini wamefanikiwa katika mashamba madogo. Mashamba haya yanaitwa GREENHOUSE. Kilimo cha greenhouse kimewatoa watu wengi mmoja wao akiwemo mwanasiasa maarufu na jamaa mmoja nilimuona kwenye kipindi cha amka na badilika cha TBC1 akielezea kilimo chake, Mimi pia nina mjomba wabgu yuko kibaha amefanikiwa katika kilimo hiki.
Mimi kutokana na uzoefu wa mjomba wangu, nimeamua kutoa mafunzo haya ya kilimo bora cha kisasa cha greenhouse kwa ghara,a y ash. 15,000/- tu. Mafunzo haya nimeyaandaa katika kitabu (ebook) softcopy ambayo utaipata kwa kunipigia simu 0758 308193.
Katika kitabu hiki utajifunza yafuatayo:
- Jinsi ya kutumia eneo lako la hatua kadhaa na kuzalisha mazao yenye uwezo wa kukuingizia Zaidi y ash 600,000/- kwa mwezi
- Kupata gharama za kuanzisha mradi huu. Na gharama yake ni chini y ash. 500,000/- ingawa kwa kutumia ujanja Fulani unaweza anza hata kw ash. 250,000/-
- Si lazima uwe na eneo kubwa kuanza mradi huu, hata kama una hatua 5x8, unaanza.
Faida chache za greenhouse:
Karibuni sana tuelimike.
- Haihitaji gharama kubwa
- Si kilimo cha msimu, utaweza kuvuna mwaka mzima
- Mazao yako hayaliwi na wadudu wala magonjwa
- Unapata mazao mara 10 ya anayelima kwenye shamba la kawaida
- Na kadhalika
Vitendo bila ujuzi ndugu??huu ni utapeli uliopitiliza, kilimo ni vitendo sio kwenye vitabu
wewe inakuingia akilini uuziwe hiyo mambo yake kwa 20,000 bila mafunzo yoyote kivitendo?? manual za kilimo zipo free online, unawe kupata video za YouTube free kabisa kuhusu kutengeneza greenhouse kwa gharama nafuuVitendo bila ujuzi ndugu??
Ulipima udongo ulipojenga green house !? Tafuta afisa kilimo kama uko Arusha naweza kusaidia kama ni nnje ya Arusha sitaweza, tafuta bwana shamba acheki ni mnyauko wa nn bacteria,fusarium au nematodes,akifahamu wa nini atakupa suluhisho kama ni kuweka mbolea nyingi ya samadi (nematodes) au kutafuta udongo ambao hauna bacteria wala fungus wa mnyauko uweke kwenye mifuko au ndoo uziweke kwenye gh yako,ni kosa kujenga gh bila kupima udongo kujua una nn na nn pia maji muhimu kuyapima maana udongo unaweza kua safi maji yakaleta ugonjwa ,tambua si rahisi ugonjwa kuingia kwenye gh na si rahisi ugonjwa kutoka ukishaingia kwenye ghNAHITAJI MSADA
Nina greenhouse na nimepanda nyanya, baada ya miezi miwili zimekua hadi kukaribia juu ya paa huku matunda yakiwa baado madogo sana.
Lakini kibaya zaidi miche inakauka mmoja mmoja bila sababu ya msingi.
Je linaweza kuwa ni tatizo gani?
pitia huu uzi kuanzia mwanzoNataka kuwa na greenhouse (Screenhouse) kwa ajili ya ukulima wa mboga. Tatizo langu ni jinsi ya kutengeza udongo wa kutumia ndani ya hiyo greenhouse, jinsi ya kupata mbinu za drip irrigation ili nipunguze watu kuingia na kutoka. Nomba msaada.
Mkuu, Hakuna Gh yenye udogo zaidi ya hiyo, au ukiweka ndogo ya hapo faida aitakuwa kubwa...Asante Mkuu,
The law of attraction . . . lol
Kuna Models tofauti tume design:
1. Lipa 5M unajengewa
2. Huna ardhi kodi ardhi kwa mwaka moja kwa laki 5- hadi million unajengewa GH kwa million 5
3. Toa 10M unauziwa GH iliyo tayari na mazao na unaimiliki
4. Kuna Model ya kununua mazao toka kwa walimaji wadogo na kuuza nk nk
Wazo lako ni zuri, tutalifanyia kazi. Thanks.