Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

wazo nzuri sana, ila mtawasaidiaje vijana wasiokuwa na ajira kuweza kufanya hiyo shughuli, na ukizingatia mil 5 tayari ni tatizo kwao ili waweze kujikomboa na aza ya kukusanyika kwa nafasi chache za ajira?


Asante Mkuu. Kinachoendelea hapa ni kushare Technology kwa wale walio na uwezo. Serikali inawajibika kwa suala la uwezeshaji wa watu wake kupitia sera zake na vitengo vyake. Tungekuwa na uwezo huo tungeweza kusaidia. Moyo tunao.
 


Ni jambo jema kutambua kuwa mafanikio ya mtu yoyote hayategemei usomi wake, wala ujuzi nk. Mafanikio yanategemea ATTITUDE. Na Attitude ni mitazamo ya watu na inatofautiana. Jambo lolote unaweza ukaliangalia katika mtazamo hasi au chanya. The choce is yours!

Asante sana kwa mchango!
 

TAHADHARI USIDANGANYWE KIRAHISI NA HAWA WATU WANAO PROMOTE KILIMO CHA GREENHOUSE UTAFILISIKA!!!!!!


Tahadhari sana wa JF. Ukweli ni kwamba watu wanao-promote kilimo cha aina hii wanafanya hivyo ili kupata faida, bila kuwaambia watu ukweli kwamba kilimo hiki si rahisi kama wanavyofikiria. Kilimo hiki kinawezekana maeneo ya baridi, lakini sehemu za joto kama hapa Dar utakuwa unatengeneza oven ya kupikia mazao uliyopanda badala ya greenhouse ya kufanya upate mazao mengi!!!

Watu huko Uganda wameshalizwa sana na hili suala la kilimo cha greenhouse. Usidanganywe!!! Kwanza, ili greenhouse yeyote ifanikiwe inatakiwa kiwango kikubwa cha ku-control joto, hata kutumia compyuta. Je wewe utaweza?

Kwa taarifa zaidi, soma makala hii hapa chini, na hakikisha unawatahadhalisha wengine.

Dont be Fooled!!! What you need to know before you invest in greenhouse

True, there is money in greenhouse farming. But it is not easy money, as the aggressive promoters of greenhouse technology would want farmers to believe.

To get the picture, look at abandoned greenhouse structures scattered around Kampala and neighbouring districts like Wakiso and Mukono. The owners are frustrated farmers who invested millions expecting quick returns, only to lose it all.

False promises
Lured by the high returns projected by fast-talking promoters masquerading as greenhouse technology experts, many aspiring farmers, especially the young corporate class, took bank loans, drew their savings, or liquidated fixed assets to invest in a greenhouse.

You cannot blame them for being gullible. The returns on investment projected by the greenhouse promoters are simply irresistible. One lady was assured of 400 per cent in profits within half a year. She invested Shs10m expecting Shs40m in six months. But instead she lost an entire crop of tomatoes to a wilt disease at the flowering stage.

The people who supplied the greenhouse structure and equipment, kept suggesting different chemical combinations, which the desperate farmer had to buy from them. She faithfully applied the chemicals but the tomatoes continued wilting as if they had been planted in a sauna.

Get knowledge
Finally, the truth hit her in the face like a basket of rotten tomatoes. The so-called greenhouse experts were actually gamblers, who were just using her as a guinea pig.


In greenhouse farming, like any other farming enterprise, knowledge is power. But most farmers only want to know how much it will cost and how soon they will recover their money.


The right people to ask would be fellow farmers, who are already into greenhouse production. There are a few successful greenhouse farmers in Uganda. Visit them. There are many in Kenya, who can be visited through organised tours.

For those with internet access, there is a lot of information available. You can have virtual tours of greenhouse projects in Asia and other parts of the world, which have similar climatic conditions as Uganda.

From them, you learn about the opportunities and challenges in greenhouse farming. Some offer short courses in greenhouse management and other vital practical skills.

Besides inadequate knowledge, lack of commitment is another reason why many greenhouses in Uganda fail. Many Ugandans engaged in greenhouse farming have full-time jobs elsewhere. The day-to-day management is left to workers, whose competence and commitment are questionable.


Conditions in a greenhouse are constantly changing so the need for close monitoring. Plant growth is determined by the controlled conditions inside the greenhouse. Temperatures and humidity have to be kept constant around the clock. A greenhouse can easily overheat in the hot sun, leading to total disaster.

In technically more advanced countries like Israel, conditions are regulated with the help of computers. However in Uganda and most African countries, this still has to be done manually. In such a situation, monitoring the greenhouse on phone or visiting for a few hours over weekend cannot work.

YOU HAVE BEEN WARNED!!!!
 

That is the whole point. Kufanikiwa kwa greenhouse Nairobi hakumaanishi itafanikiwa hapa Dar au Kimbiji huko. Labda unapaswa uka-promote hiki kitu huko Nairobi na sio kuwadanganya watu wa Dar kwba watapata tani 20 sijui kama ulivyopata wewe Nairobi.
 
Ndugu zangu watanzania naomba nitoe tahadhali kuhusu uanzishwaji wa greenhouse hasa haya yanayotangazwa kibiashara kabla ya kufanya uamuzi wa kuyanunua nawaomba mpate ushauri kutoka kwa wataalam wa kilimo. kuna mambo ya msingi sana yanatakiwa yazingatiwe emissivity na transmissivity ya cladding/greenhouse cover ni muhimu sana wafanyabiashara wengi wamekuwa wakidanganya hivyo kupunguza efficiency ya greenhouse yenyewe. pia greenouse inategemea na location uliyopo, hali ya hewa na availability ya resources. mimi ni mtaalam wa kilimo ambaye kwa sasa nasomea greenhouse hort nchini uholanz be careful my people.
Agric pays Do it.
 

Soko ni suala muhimu, ni vema kuliangalia pia katika mtazamo chanya. Kila familia inatumia mazao ya bustani kila siku (Consumables). Bado kuna mahotel, mashule, vyuo nk nk. Mazao haya yana soko la kudumu ili mradi tu muhusika anakuwa mwepesi katika mauzo.
 
Mkuu nipo iringa, labda nijiulize, mimi eneo langu halipo tambarare, lina mteremko kidogo, pia nimejenga fensi ya ukuta eneo la ndani ni mita 9 kwa 18 je litafaa?

Kama ilivyo katika ujenzi wa nyumba ni vema Green House ijengwe kwenye level ground. Jitahidi kusawazisha. Japo inawezekana ujenzi wa "poles" unaweza usiwe sawa maana nyingine itabidi ziwe fupi ili kubalance Green House yako.
 
Ukiweka kivuli mimea itastawi vp wakati yenyewe inahitaji mwanga ili iweze kutengeneza chakula chake (This does not sound proffesional)
 

Ahsante Mkuu. Na mie nimetoa onyo hapo juu. Naona hii fani imeanza kuingiliwa na watu wanaotaka kuwa tapeli watu bila kuwapa ukweli wote. Very sad. Watu watafanya lolote ili kupata pesa, hata kama inamaanisha kukufilisi ka akiba kako ulikoweka bank.
 

Suala la upepo lipo. Ipo mifano ambayo kuna Green House moja Bagamoyo ilichukuliwa na upepo na ikaanguka. Katika maeneo ya upepo ni vema kufanya re-enforcement na kutumia chuma badala ya miti na upepo ni muhimu.
 
Kwamba kuna green house wala halina ubishi.... nazijua sana pengine kuliko wewe. Mimi niko kwenye namna ''ulivyopaisha'' mapato yake vs bei unayouza. Utafikiria rocket ya kwenda mwezini!

Kujua kitu si kutenda na ndo maana nchi yetu ina wasomi wengi wazuri na wajuzi wengi lakini utendaji wetu mbovu. Nchi hadi leo masikini na visingizio kibao. Problem ni Attitude!

Negative Attitude. Emotions si lazima katika mijadala. Emotions are energies ambazo katika ulimwengu wa sayansi ya sasa hasa last 5 years can be removed. The choice is yours!

Back to topic:

Green House is a Technology ambayo inakuhakikishia high productivity kwa sababu ya ku-control environment na management.

8X15 M unaweza kupanda miche 600 ya nyanya.
Kwa wiki unaweza kupata kati ya kilograms 400-600
Msimu toka uanze kuvuna unaweza kuchukua miezi 8 hadi 12.
Kwa DSM bei ya nyanya inarange kati ya TZS 1500 hadi 4000 kutegemea msimu

Sasa tufanye mahesabu ya kawaida:

Kwa wiki unapata: 400 (600) Kgs X 1500 (4000) = TZS 600,000 hadi TZS 900,000 (kutegemea na timing)
Kwa mwezi au wiki nne: TZS 6000 X 4 = 2,400,000 hadi TZS 900,000 X 4 = 3,600,000/=
Kwa average ya miezi 10: TZS 24M hadi TZS 36M

Kumbuka running cost ni minimum baada ya investment ya awali..
 

Ukitumia Mbegu Eva-F1 kwa miche 600 inaweza kuzaa hadi kilo 600 kwa wiki hii ni katika Green House ya Mita 8 X Mita 15.
 
Nakuombea uzima mkuu, natamani kuona hii kitu ikiwa applicable .... nitakuwa member, kwa sasa settlement yangu haijatulia... nakusupport ila tukumbuke kuwasaidia na wanaotaka ila wasio na uwezo!

Asante sana.

Green House is not my main business ila ni passion yangu kuona watanzania wengi wanaamka na kujisaidia katika maisha yao hasa kupitia technolojia rahisi.

Inasikitisha kuwa wakati kuna baadhi wana Green House na kuondesha maisha yao bila pressure kupitia vipato vya Green House wanavyopata, bado kuna watu wana question. Technology is a Technology na hakuna kitu utabadili kama imeshakuwa proved.

Asante sana kwa support yako na tuendelee kubadilishana mawazo katika mtazamo chanya.
 

Really? Mungu tusaidie Watanzania tubadilike na hasa attitude zetu kwa ajili ya maendeleo yetu!
 

Masanja, Well written! As if nilikuwa naandika mimi.

Shida ya Watanzania nia mitazamo ambayo inakuwa reflected katika characters zao na personality zao. Hizo ndo zinapelekea destiny yao. Kuna popular words zinasema:

"Watch your thoughts; they become your words
Watch your words they become your actions
Watch your actions they become your habits
Watch your habits they become your characters
Watch your characters they become your destiny.

Kibaolojia ukiacha tofauti ya jinsia binadamu wote ni sawa. Kinachotofautisha kati ya mtu moja na mwingine inatokana na mambo yafuatayo:

1. DNA (Urithi toka kwa Wazazi - DNA zao ni za Kisoshalisti toka enzi za mwalimu, na unajua Ujamaa ulileta utegemezi)
2. Ulichoingiza kichwani katika ya umri wa miaka 0 ukiwa tumboni hadi miaka 12 (Mazuri na mabaya yote uliyosikia, kutendewa, kuona, kunusa au kuonja yako hapa, hata kama wewe hukumbuki). Hapa mazingira ya mtu alipokulia counts
3. Personal Life Experience toka miaka 12 hadi sasa. Hapa ndo akina Masanja wameweza kusimama wenyewe nk
4. Uhusiano wako na Mungu wako, so hili pia linategemea malezi, jamii, nk nk

Ni vema Watanzania wakiamuka sasa na kubadili mitazamo yao otherwise REAL SUCCESS wataisikia tu!
 

Well written: Hongera sana.

Anayetaka anaweza kubadili mindet yake na attitude. PLEASE GOOGLE "BRAIN WAVES" na hasa "THETA WAVES" can be very useful kwa wengi wetu.

Anayehitaji msaada amtafute Masanja au Horseshoe Arch. Pia ukihitaji msaada unaweza kunitafuta. You can change your mindset now!
 
Last edited by a moderator:

Well written brother!
 
Nimeupata ushauri wako, ni mzuri. Umefikia wapi na greenhouse yako baada ya kumtembelea huyo jamaa?
Bado nipo kwenye mchakato Mkuu, ndio maana nikashauri kama una affordable altenative basi unifanzie hapa ili nicheki kama kwangu iko poa zaidi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…