Smart2014
Member
- Jan 14, 2014
- 30
- 6
Nadiliki kusema wewe ni Tapeli ,ulikuja hapa na uzi wako wa kuuza mashine za kutengeneza mkaa,ukarudi na uzi wa kuuza kitabu cha jinsi ta kutengeneza mkaa ,ulipoulizwa maswali ya msingi ukawa unalazimisha watu wanunue kitabu chako.Leo tena unajifanya mjasiriamali wa Greenhouse halafu ukiulizwa maswali ya msingi unaleta majibu ya juuri.
Hata kuspell huwezi, ni jeuri babu. Jinsi unavyoandika ina explain uwezo wako wa kufikiri