Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

Point nzuri, ila watawatambujaje wale wataokuwa tayari kulipa hizo 5m baada ya kuvuna?


Halafu, kila mwaka inabidi ujengewe mpya? Au ukishajenga ndio nitolee?

Mkuu zamani kwenye elimu zinye displine ya uchumi na masuala ya fedha walengwa wakubwa walikuwa ni matajiri wakubwa na wenye mitaji mikubwa, ila taasisi za kifedha zilipokuja kuanza kuwaamini wajasiriamali wadogo wadogo ndipo walileta micro finance ambayo inahudumia wateja wadogo wadogo walio wengi kuliko matajiri wakubwa ambao kimsingi ni wachache...and you kno what! Mjasiriamali ana displine kubwa sana ya fedha kuliko tajiri kwa kuwa hana namna nyingine ya kutoka kimaisha isipokuwa kabiashara kake ambako kamesimama kwa hisani ya mkopo!

Kuna watu wengi sana ambao hawana ujuzi wowote,na ambao nina hakika kama wakipata fursa ya kuelekezwa wazo kama hili na kama ikiwezekana wakaona kwa mfano hai kesho wangekuwa walishaji wa Taifa....
Ikiwa moja ya majukumu ya maafisa mikopo kwenye taasisi za fedha ni kumfundisha mjasiriamali namna ya kutumia vizuri mkopo ili aweze kufaidika na kurudisha mkopo inashindikanaje kuaply hii kitu kwa wakulima kupewa visual darasa na shamba darasa na baadaye somo likiisha waingia mhisani nae akatafuta masoko?
 
garama za ku endesha kilimo cha nyanya ni kiasi gani kwa mwaka mzima ndani ya hiyo green house? soko la nyanya je? msiku wa kupanda na kuvuna je? maana kwa sasa tenga la nyanya iringa ni elfu 3. na huwezi uza bila dalali. kwanini msinikopeahe na nilipe taratibu wakati wa mavuno if tje project is worth?

Gharama za kuendesha kilimo ni kumwagilia tu maana package ya dawa, mbolea na support for year one ziko included katika hiyo TZS 5M.

Soko la nyanya: Nyanya ni consumable produce ambayo lazima itumike kila siku. Wakati wa msimu inawezekana nyanya zikawa nyingi na bei ikashuka lakini bado in worst case scenario utauza. Yako masoko maalumu kama mahoteli na mashule na vyuo nk ambayo ukiwa na fresh products wanapenda. lakini pia yapo masoko ya nje na mazao ya kutoka huku japo utauza ghali nje lakini bado kwa nje ni cheap.

Bado unaweza kupanda mazao mengine kufuatana na demand nk.

Toka kupanda miche inakuchukua kati ya miezi miwili na nusu hadi kuanza kuvuna. Baada ya kuanza kuvuna itachukua kati ya miezi 9 hadi 12 kabla ya msimu kumalizika na kuanza kupanda upya.

Green House ya mirunda na treated timber inadumu miaka 5. Ya chuma miaka 10.
 
Point nzuri, ila watawatambujaje wale wataokuwa tayari kulipa hizo 5m baada ya kuvuna?


Halafu, kila mwaka inabidi ujengewe mpya? Au ukishajenga ndio nitolee?

Najibu la pili ndo linanihusu: Ukishajengewa mara moja ni basi. Unaweza kuitumia Green House hiyo hiyo kila mwaka kati ya miaka 5hadi 10.
 
nataka kujua hata mtu akiwa kijijini ndani kiasi gani bei ni hiyohiyo 5millioni?
maana mimi natoka mbinga litui huko ndani kabisa so bei ni hiyo moja ama?
majibu tafadhali
 
Biashara inayoingiza 20m kwa mwaka ni biashara kichaa.(5m capital,running cost kwa mwaka 4m faida 11m)

No running cost zaidi ya maji. Support ya mwaka mzima ni huduma uliyoilipia tayari. Mwishoni ukiwekeza hiyo TZS 5M Green House yako inadumu kati ya miaka 5 hadi 10.
 
What a MEGA SMART analytical mind!!! Mkuu Kichwa chako kinachemka kweli kweli, unapaswa kuitwa HORSESHOE MAGNET. Wazo la Msimbe ni zuri, lakini kama anataka kusaidia walala hoi kweli basi ni vyema afuate ushauri wa paragraph ya mwisho wa ndugu HORSESHOE ARC.

Mkuu mawazo yenu yamesomeka. Ingawa hatuna jukumu la kutoa misaada zaidi ya kushare Technlogy ambayo ikitumika vema inaweza kuondoa umasikini.
 
Hii makitu nimewahi kuiona humu watu wakaichangamkia na kuisifia sana...nadhani kulikuwa na shamba darasa Kigamboni ambako wana JF wengi walienda kula shule....
 
Mkuu zamani kwenye elimu zinye displine ya uchumi na masuala ya fedha walengwa wakubwa walikuwa ni matajiri wakubwa na wenye mitaji mikubwa, ila taasisi za kifedha zilipokuja kuanza kuwaamini wajasiriamali wadogo wadogo ndipo walileta micro finance ambayo inahudumia wateja wadogo wadogo walio wengi kuliko matajiri wakubwa ambao kimsingi ni wachache...and you kno what! Mjasiriamali ana displine kubwa sana ya fedha kuliko tajiri kwa kuwa hana namna nyingine ya kutoka kimaisha isipokuwa kabiashara kake ambako kamesimama kwa hisani ya mkopo!

Kuna watu wengi sana ambao hawana ujuzi wowote,na ambao nina hakika kama wakipata fursa ya kuelekezwa wazo kama hili na kama ikiwezekana wakaona kwa mfano hai kesho wangekuwa walishaji wa Taifa....
Ikiwa moja ya majukumu ya maafisa mikopo kwenye taasisi za fedha ni kumfundisha mjasiriamali namna ya kutumia vizuri mkopo ili aweze kufaidika na kurudisha mkopo inashindikanaje kuaply hii kitu kwa wakulima kupewa visual darasa na shamba darasa na baadaye somo likiisha waingia mhisani nae akatafuta masoko?

Well written. Pamoja sana.
 
Too GOOD too be true! Lakini wabongo walivyo mambulula mtakamata wengi!

Mkuu, hii si kitu kipya. Wenzetu wakenya walianza toka miaka ya 90'S. Arusha kuna Green House nyingi za maua. Mwanza kuna Green House ambazo baadhi ya Supermarket wananunua toka huko. Unaweza kutembelea Green House zote hizi ili uone na kuamini.
 
nataka kujua hata mtu akiwa kijijini ndani kiasi gani bei ni hiyohiyo 5millioni?
maana mimi natoka mbinga litui huko ndani kabisa so bei ni hiyo moja ama?
majibu tafadhali

Ni Million 5 ndiyo. Bei hiyo kwa kiasi kikubwa inahusisha materials.
 
Mkuu zamani kwenye elimu zinye displine ya uchumi na masuala ya fedha walengwa wakubwa walikuwa ni matajiri wakubwa na wenye mitaji mikubwa, ila taasisi za kifedha zilipokuja kuanza kuwaamini wajasiriamali wadogo wadogo ndipo walileta micro finance ambayo inahudumia wateja wadogo wadogo walio wengi kuliko matajiri wakubwa ambao kimsingi ni wachache...and you kno what! Mjasiriamali ana displine kubwa sana ya fedha kuliko tajiri kwa kuwa hana namna nyingine ya kutoka kimaisha isipokuwa kabiashara kake ambako kamesimama kwa hisani ya mkopo!

Kuna watu wengi sana ambao hawana ujuzi wowote,na ambao nina hakika kama wakipata fursa ya kuelekezwa wazo kama hili na kama ikiwezekana wakaona kwa mfano hai kesho wangekuwa walishaji wa Taifa....
Ikiwa moja ya majukumu ya maafisa mikopo kwenye taasisi za fedha ni kumfundisha mjasiriamali namna ya kutumia vizuri mkopo ili aweze kufaidika na kurudisha mkopo inashindikanaje kuaply hii kitu kwa wakulima kupewa visual darasa na shamba darasa na baadaye somo likiisha waingia mhisani nae akatafuta masoko?

Tell you what H.A? Kahanzishe/fungua shule, utawakombowa wengi kimawazo - na ni rahisi sana wewe kupata wafadhili wa kuwasaidia walala hoi, 'am not kidding.
 
What a MEGA SMART analytical mind!!! Mkuu Kichwa chako kinachemka kweli kweli, unapaswa kuitwa HORSESHOE MAGNET. Wazo la Msimbe ni zuri, lakini kama anataka kusaidia walala hoi kweli basi ni vyema afuate ushauri wa paragraph ya mwisho wa ndugu HORSESHOE ARC.

Nionavyo mimi, kwa biashara ndogo ndogo zisizohitaji mtaji mkubwa kama ya mama Ntilie, wazo lake ni sahihi kabisa. Lakini kwa biashara ambayo itambidi mtu arejeshe pesa baada ya mwaka, sidhani kama huo mtindo alioutumia Ngosha unaweza kuhold. Labda tu angesema kutokana na uwezo, mkulima amlipe kwanza nusu ya gharama na kisha amalizie baadae. Hiyo itamfanya hata mkulima awe serious katika utunzaji wa green house kwa weledi. Vinginevyo anaweza hata akaitelekeza na hao jamaa kupata hasara.
 
Mimi nina eneo Kiluvya Daresalaam. Je panafaa kwa greenhouse?

Mkuu kabla ya ujenzi inafanyika soil analysis na water analysis kupitia maabara ili kujua virutubisho vilivyopo na kama kuna infection yoyote.

Unaweza kufanya Green House Kiluvya. karibu sana.
 
Mkuu kabla ya ujenzi inafanyika soil analysis na water analysis kupitia maabara ili kujua virutubisho vilivyopo na kama kuna infection yoyote.

Unaweza kufanya Green House Kiluvya. karibu sana.

Asante sana. Kwasasa niko mikoani....nikirudi nitakutafuta.
 
wazo nzuri sana, ila mtawasaidiaje vijana wasiokuwa na ajira kuweza kufanya hiyo shughuli, na ukizingatia mil 5 tayari ni tatizo kwao ili waweze kujikomboa na aza ya kukusanyika kwa nafasi chache za ajira?
 
Back
Top Bottom