NDANGA
Member
- May 19, 2014
- 53
- 27
U.S Grains Council watakuwa na mafunzo kwa watengenezaji wa chakula cha kuku kwa kutumia Soya ,
Mafunzo haya ni kwa wale wanaotengeneza vyakula vya kuku au wanaotarajia kutengeneza chakula cha kuku.
Mafunzo yatafanyika Chuo Kikuu cha Dare es Salaam siku ya Jumamosi tarehe 11-10-2014 kuanzaia saa 2.00 asubuhi hadi saa 9.00 mchana.
Kama una nia ya kushiriki jiandikishe kwa Mary Ngalaba simu : 0718-733 711 au 0683-624 650
Ahsante kwa kuiendeleza tasnia ya kuku
Manase Mrindwa
Katibu
Tanzania Poultry Breeders Association (TPBA)
Mafunzo haya ni kwa wale wanaotengeneza vyakula vya kuku au wanaotarajia kutengeneza chakula cha kuku.
Mafunzo yatafanyika Chuo Kikuu cha Dare es Salaam siku ya Jumamosi tarehe 11-10-2014 kuanzaia saa 2.00 asubuhi hadi saa 9.00 mchana.
Kama una nia ya kushiriki jiandikishe kwa Mary Ngalaba simu : 0718-733 711 au 0683-624 650
Ahsante kwa kuiendeleza tasnia ya kuku
Manase Mrindwa
Katibu
Tanzania Poultry Breeders Association (TPBA)