Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa ujuzi wangu sidhani kama hapa bongo kuna chuo ch akufundish aufindi wa aina hiyo ila kama huyo kijana wako ana elimu kidogo ya matumizi ya computer kuna software nyingi za kuunluck na kuflash simu na nadhani hayo ndio mambo muhimu katika ufundi wa simu kwa kutumia computer. mwambie atafute vifaa vifuatavyo.Nina kijana wangu anahitaji sana mafunzo ya mob phone soft ware yeye ni fundi wa hard ware sasa anhitaji kupata chuo au sehemu ambayo anaweza pata mafunzo ya soft ware. msaada tafadhali