Mafunzo ya mwalimu wa primary

Mafunzo ya mwalimu wa primary

jerrysonkiria

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
2,228
Reaction score
2,901
Mwalimu wangu wa primary alikuwa ananambia lala hapo ananichapa matakoni,huku akisema sikuchapi wewe nachapa ujinga wako.

Bhasi akaniaminisha na mpaka leo najua ujinga upo matakoni,

Sasa nikimuona demu anamakalio(matako)makubwa najua kajaza ujinga tu [emoji38]
 
Back
Top Bottom