Mafunzo ya Ujasiriamali na Uendeshaji wa Biashara Kimataifa kwa Wanadiaspora wa Visiwa vya Comoro

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Mafunzo ya Ujasiriamali na Uendeshaji wa Biashara Kimataifa kwa Wanadiaspora wa Visiwa vya Comoro

Mgeni Rasmi: Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

📍Moroni, Comoro
📅 14-16 Machi, 2025

 
Ila shekhe tugawane basi hizo chambi chambi unazopewa na balozi Kombo mana tangu nikujue we jamaa hujawahi kuanzisha uzi hata wa kupanda bei ya magimbi sokoni wewe ni balozi Kombo ,

Balozi Kombo na wewe 🤣🤣🤣
 
Ila shekhe tugawane basi hizo chambi chambi unazopewa na balozi Kombo mana tangu nikujue we jamaa hujawahi kuanzisha uzi hata wa kupanda bei ya magimbi sokoni wewe ni balozi Kombo ,

Balozi Kombo na wewe 🤣🤣🤣
Toka hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…