Mafunzo ya ujasiriamali

Mafunzo ya ujasiriamali

maweiwe

Senior Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
167
Reaction score
45
Ndugu wana JF natafuta mahali nitakapoweza kujifunza namna ya kutengeneza sabuni za maji, batiki na sabuni za magadi kwa gharama kidogo. Hivyo kama unafahamu mahali popote kwa dar es salaam wanapotoa elimu hii tafadhali naomba mnijulishe. NITAPITIA COMMENTS ZENU ZOTE KWA MAELEKEZO.
 
Back
Top Bottom