Mafuriko: Makanya, Same, Kilimanjaro

Mafuriko: Makanya, Same, Kilimanjaro

Hakainde

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2020
Posts
2,401
Reaction score
2,872
Makanya, Same, Kilimanjaro, barabara haipitiki kwa sababu mvua imesababisha maji kupita juu ya daraja, na kusababisha msururu mrefu wa magari yanayotoka na kuingia Mkoa wa Kilimanjaro.

Mamlaka husika, hususani Mkoa wa Kilimanjaro, zichukue hatua za dharura kunusuru abiria na magari, na pia hatua za kudumu zichukuliwe, ikiwemo apanuzi wa daraja hapa Makanya.

Tumekwama hapa Makanya kuanzia saa tano usiku.

NB: Mamlaka husika Mkoa zikae standby, ikiwemo kuongoza magari, ili kuwepo na Usalama na kuepusha madhara.

Picha sijapiga ni usiku sana na mvua inanyesha bado.
 
Makanya, Same, Kilimanjaro, barabara haipitiki kwa sababu mvua imesababisha maji kupita juu ya daraja, na kusababisha msururu mrefu wa magari yanayotoka na kuingia Mkoa wa Kilimanjaro.

Mamlaka husika, hususani Mkoa wa Kilimanjaro, zichukue hatua za dharura kunusuru abiria na magari, na pia hatua za kudumu zichukuliwe, ikiwemo apanuzi wa daraja hapa Makanya.

Tumekwama hapa Makanya kuanzia saa tano usiku.

NB: Mamlaka husika Mkoa zikae standby, ikiwemo kuongoza magari, ili kuwepo na Usalama na kuepusha madhara.

Picha sijapiga ni usiku sana na mvua inanyesha bado.
Niliiona hiyo 2005, huwa inajirudia sana
 
Makanya, Same, Kilimanjaro, barabara haipitiki kwa sababu mvua imesababisha maji kupita juu ya daraja, na kusababisha msururu mrefu wa magari yanayotoka na kuingia Mkoa wa Kilimanjaro.

Mamlaka husika, hususani Mkoa wa Kilimanjaro, zichukue hatua za dharura kunusuru abiria na magari, na pia hatua za kudumu zichukuliwe, ikiwemo apanuzi wa daraja hapa Makanya.

Tumekwama hapa Makanya kuanzia saa tano usiku.

NB: Mamlaka husika Mkoa zikae standby, ikiwemo kuongoza magari, ili kuwepo na Usalama na kuepusha madhara.

Picha sijapiga ni usiku sana na mvua inanyesha bado.
Poleni sana kwa adha mliyoipata
 
Vipi kwa sasa hali ikoje?
Kuna gari aina ya. Fuso Bus ilikuwa imebeba maiti imesombwa na maji hadi kwenye kingo za barabara. Nimeacha abiria wakitolewa kupitia dirishani. Dereva wa Fuso alikuta foleni iliyotokana na mafuriko, ila yeye akajaribu kutanua ambapo gari ilizidiwa na kusombwa.

Madereva wengine walisubiri maji yakapungua ndipo tukapita salama.
 
Kuna gari aina ya. Fuso Bus ilikuwa imebeba maiti imesombwa na maji hadi kwenye kingo za barabara. Nimeacha abiria wakitolewa kupitia dirishani. Dereva wa Fuso alikuta foleni iliyotokana na mafuriko, ila yeye akajaribu kutanua ambapo gari ilizidiwa na kusombwa.

Madereva wengine walisubiri maji yakapungua ndipo tukapita salama.
Dereva wa Fuso deal zao Fujo!!!

Poleni
 
Ajabu sana mwaka huu. Hayo maeneo ya Same na Makanya kuna ukame wa hali ya juu. Lakini pamoja na upungufu wa mvua katika maeneo mengi ya nchi yaliyokua yanapata mvua za kutosha eti leo hii Same na Makanya kumekua na mvua nyingi hadi zimeleta mafuriko
 
Ajabu sana mwaka huu. Hayo maeneo ya Same na Makanya kuna ukame wa hali ya juu. Lakini pamoja na upungufu wa mvua katika maeneo mengi ya nchi yaliyokua yanapata mvua za kutosha eti leo hii Same na Makanya kumekua na mvua nyingi hadi zimeleta mafuriko
Mara nyingi mafuriko pale hua yanasababishwa na mvua zinazonyesha juu kule milimani
 
Makanya, Same, Kilimanjaro, barabara haipitiki kwa sababu mvua imesababisha maji kupita juu ya daraja, na kusababisha msururu mrefu wa magari yanayotoka na kuingia Mkoa wa Kilimanjaro.

Mamlaka husika, hususani Mkoa wa Kilimanjaro, zichukue hatua za dharura kunusuru abiria na magari, na pia hatua za kudumu zichukuliwe, ikiwemo apanuzi wa daraja hapa Makanya.

Tumekwama hapa Makanya kuanzia saa tano usiku.

NB: Mamlaka husika Mkoa zikae standby, ikiwemo kuongoza magari, ili kuwepo na Usalama na kuepusha madhara.

Picha sijapiga ni usiku sana na mvua inanyesha bado.
Hamna picha?
 
Nadhani wahusika wamesoma habari hii, ni matumaini yetu sote kuwa watachukuwa hatua stahiki, nyie abiria, Mungu awape uvumilivu na faraja katika kipindi hiki cha mpito.
 
Back
Top Bottom