Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
Makanya, Same, Kilimanjaro, barabara haipitiki kwa sababu mvua imesababisha maji kupita juu ya daraja, na kusababisha msururu mrefu wa magari yanayotoka na kuingia Mkoa wa Kilimanjaro.
Mamlaka husika, hususani Mkoa wa Kilimanjaro, zichukue hatua za dharura kunusuru abiria na magari, na pia hatua za kudumu zichukuliwe, ikiwemo apanuzi wa daraja hapa Makanya.
Tumekwama hapa Makanya kuanzia saa tano usiku.
NB: Mamlaka husika Mkoa zikae standby, ikiwemo kuongoza magari, ili kuwepo na Usalama na kuepusha madhara.
Picha sijapiga ni usiku sana na mvua inanyesha bado.
Mamlaka husika, hususani Mkoa wa Kilimanjaro, zichukue hatua za dharura kunusuru abiria na magari, na pia hatua za kudumu zichukuliwe, ikiwemo apanuzi wa daraja hapa Makanya.
Tumekwama hapa Makanya kuanzia saa tano usiku.
NB: Mamlaka husika Mkoa zikae standby, ikiwemo kuongoza magari, ili kuwepo na Usalama na kuepusha madhara.
Picha sijapiga ni usiku sana na mvua inanyesha bado.