Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani amekosea,$114mln haziwezi kuwa Tril225 hapo lazima icheze kwenye bln.Hii ni habari njema, utekelezaji ufanyike Japo mipango imeanza zama hizo,tutapongeza awamu ya tano endapo utekelezaji utaanza.
Japo kwa design mradi sio economy Tzs 255 Trillion!? Utekelezaji wake hauwezekani sioni mbia serious kuungana na awamu hii ya tano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna jinsi.
Mradi wa TZS Trilioni 255 ni sawa na bajeti ya nchi ya miaka 9.
Kwa hiyo, kukopa na kuhimiza mtaji kutoka sekta binafsi ni lazima.
Yah alikosea apo kwny conversion.Hapo umekosea kufanya conversion, dola za Marekani million 110 sio sawa na Tsh 255 trillion...bali ni sawa na Tsh 255 billion...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga mtupu