Mafuriko Msimbazi Dar: Mwarobaini watua Ofisi ya Rais

Hii itakuwa Masters ya mtu.Asante kwa kutushirikisha,bonge la Literature review ya baadae kwa vijana.
 
Asante kaka kwa updates,mimi ni kati ya watu wanaoufutilia kwa krb huu,mradi pesa inayohitajika ni nyingi sana imenipa wasiwasi kama kweli tutaweza kuutekeleza.usiache kutujuza baada ya tathimini ya TAMISEMI na WIZARA YA FEDHA.Shida nyingine watanzania ni wazito sana kwny PPP.
 
Nadhani amekosea,$114mln haziwezi kuwa Tril225 hapo lazima icheze kwenye bln.
 
ANALYSIS YA NGUVU SANA..
Najiuliza hakuna Mkakati wa Muda Mfupi wa kututoa kwenye adha za kila mwaka za Mafuriko?
 
Mama atafute mambo mengine yakufanya yenye tija kwa taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…