Mshani de Orbital
Member
- Oct 10, 2014
- 14
- 4
Kwanza niwape pole wahanga wa mafuriko yanayoendelea jijini DAR,tuko pamoja na Mungu yuko pamoja nanyi.
Leo ilikuwa ni siku ya kujua hatima ya sakata hili la Kampala kama ilivyoahidiwa na serikali, lakini mnamo majira ya saa tano asubuhi mkuu wa wilaya alipiga simu kuwataarifu wanafunzi yakuwa amepata dharura kwamba leo Rais atatembelea sehemu zilizoathiriwa na mafuriko.
Hivyo ikiwa kama mkuu wa wilaya ya ilala ambae wilaya yake ni moja ya wahanga pia kesho kutakuwa na ugeni wa kitaifa wa marais toka nchi jirani hivyo kutokana na hali hii asingeweza kufika hivyo kaahidi kufika alhamisi ya wiki hii.
Leo ilikuwa ni siku ya kujua hatima ya sakata hili la Kampala kama ilivyoahidiwa na serikali, lakini mnamo majira ya saa tano asubuhi mkuu wa wilaya alipiga simu kuwataarifu wanafunzi yakuwa amepata dharura kwamba leo Rais atatembelea sehemu zilizoathiriwa na mafuriko.
Hivyo ikiwa kama mkuu wa wilaya ya ilala ambae wilaya yake ni moja ya wahanga pia kesho kutakuwa na ugeni wa kitaifa wa marais toka nchi jirani hivyo kutokana na hali hii asingeweza kufika hivyo kaahidi kufika alhamisi ya wiki hii.