March 18, 2020
LIVE: MAFURIKO RUFIJI | WANANCHI WANAVYOMLILIA JPM
Wananchi wa Rufiji mkoani Pwani waamua kujitokeza baada ya kuona hakuna hatua za dhati za viongozi wa maeneo yao kuifahamisha serikali kuu kuchukua majukumu kuwasaidia.
Serikali ya CCM Mpya vilio hivi vya wana Rufiji visifunikwe ili mbali ya serikali kuu, hata waTanzania wenye moyo wa kujitolea wafahamishwe hali hii tete ili kuweza kuwanusuru na kuwahifadhi waTanzania wenzao.
Source: Jamvi online TV
LIVE: MAFURIKO RUFIJI | WANANCHI WANAVYOMLILIA JPM
Wananchi wa Rufiji mkoani Pwani waamua kujitokeza baada ya kuona hakuna hatua za dhati za viongozi wa maeneo yao kuifahamisha serikali kuu kuchukua majukumu kuwasaidia.
Serikali ya CCM Mpya vilio hivi vya wana Rufiji visifunikwe ili mbali ya serikali kuu, hata waTanzania wenye moyo wa kujitolea wafahamishwe hali hii tete ili kuweza kuwanusuru na kuwahifadhi waTanzania wenzao.
Source: Jamvi online TV