wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Kule ndio yamefungwa hayana pa kuhemea ndio yanakuja hadi kibiti kisemvule mbaghala mjiandae
Hayo maji si wayapeleke stiglers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maji si wayapeleke stiglers
Mikosi na nuksi zipi?!Povu halisaidii tusaidiane kuuondoa utawala huu wenye mkosi na nuksi mbalimbali
March 18, 2020
LIVE: MAFURIKO RUFIJI | WANANCHI WANAVYOMLILIA JPM
Wananchi wa Rufiji mkoani Pwani waamua kujitokeza baada ya kuona hakuna hatua za dhati za viongozi wa maeneo yao kuifahamisha serikali kuu kuchukua majukumu kuwasaidia.
Serikali ya CCM Mpya vilio hivi vya wana Rufiji visifunikwe ili mbali ya serikali kuu, hata waTanzania wenye moyo wa kujitolea wafahamishwe hali hii tete ili kuweza kuwanusuru na kuwahifadhi waTanzania wenzao.
Source: Jamvi online TV
Huna hoja una chuki tuPovu halisaidii tusaidiane kuuondoa utawala huu wenye mkosi na nuksi mbalimbali
Fikiria nchi ikipewa ma dj na malesbians si tutaangamizwa na gharika Kama la nuhuTokea Awamu ya tano ijisimeke madarakani ilikaribishwa na matetemeko ya ardhi huko kanda ya ziwa
Mikosi baada ya nuksi upigwaji risasi na upotevu wa wanasiasa umekuwa kitu cha kawaida
Huku viongozi mbalimbali wakikanusha kila kitu
Karma karma karma karma karma karma inanyong'onyea
Siyo kwa mvua zinazonyesha msimu huu,,Hao watu wanaitaji msaada na sio habari za mradi wa umeme, kwa iyo waendelee kutabika wakisubiria mradi ukamilike ndio wawe salama.Bonde la nyerere likianza kuzalisha umeme hii kero ya mafuriko itaisha! Haya ndo manufaa ya mradi huu wa umeme japo vibaraka wa mabeberu akina zitto na wenzake wanaupinga!
Halafu wanataka nchi tuwape ma DJ na malesbians majambazi wa magari si tutapata gharika Kama la nuhuNdo maana hii Avatar ilimiminiwa pyuuu! Pyuuuu! za kutosha kibaraka wa mabeberu na mapandikizi yake kama hili!
Hana hamu kuwadi wa mabeberuView attachment 1394013
Kwa hiyo unayafurahia haya
Subiri watukanwe
March 18, 2020
LIVE: MAFURIKO RUFIJI | WANANCHI WANAVYOMLILIA JPM
Wananchi wa Rufiji mkoani Pwani waamua kujitokeza baada ya kuona hakuna hatua za dhati za viongozi wa maeneo yao kuifahamisha serikali kuu kuchukua majukumu kuwasaidia.
Serikali ya CCM Mpya vilio hivi vya wana Rufiji visifunikwe ili mbali ya serikali kuu, hata waTanzania wenye moyo wa kujitolea wafahamishwe hali hii tete ili kuweza kuwanusuru na kuwahifadhi waTanzania wenzao.
Source: Jamvi online TV
Wasiojulikana wakiiangalia hii picha na kiongozi wao,miili inawasisimka...laana haitawaacha wao na familia zao.View attachment 1394013
Kwa hiyo unayafurahia haya